brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Tena natamani aone hii thread ajifunze wanaume wenzake wanafanya nini uwezo anao tena mkubwa tu
Ooh dear,pole inaonekana ni kitu kinakukwaza si umwambie tu wengine mpaka wakumbushwe hivyo hivyo....
Jinsi unavyojiweka pia matters...