pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Niliwahi soma mahali flani, kwenye birthday party ya star mmoja Mwenzake alipeleka verosa akakuta mwingine katanguliza discovery.
Kuwa na heshima
Ukitendwa uje ujitape hapa....
Anyway hongeera kwa kumpa zawad, mchumba hasomeshwi.
hizi sifa tu wahongaji mbona hawasemi, kuna ID zina trend sana nowadays
Nakuhurumia kaka yangu,wote tumesoma pale,hizo 100%unazojipa utarudi hapa mbio sasa hivi.kwa umri sidhani kama ni mzoefu kwenye hizi habari,hebu kapate uzoefu kwanza
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
mafuta nagharamia
service nagharamia
ada ya chuo nagharamia
hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Bado humwelewi mtu mwanamke,kama alikwambia ili asichepuke umununulie gari au umulipie ada basi hapo kakudanganya,mwanamke anavyohtaji ni zaidi ya hivyo.
Cha kukusaidia mpige mimba ili atlest uwe na aman japo nayo ni ya mda.
Kuchepuka kwa mtu ni tabia,hulka au tatizo frani hupelekea kufanya hivyo,kwa hiyo gari na ada sio sababu ya kutokuchepuka kwake.
HAPO KWENYE RED...Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Ukitendwa uje ujitape hapa....
Anyway hongeera kwa kumpa zawad, mchumba hasomeshwi.