Zawadi for my baby

Zawadi for my baby

Status
Not open for further replies.
Kuna naibu wa fedha mmoja wa zamani alikuwa anampa mkewe kila kitu. Nakumbuka akiendesha Nissan Patrol na Toyota Land Cruiser. matokeo yake alikuwa akiliwa na jamaa hata Baiskeli hana.
 
'shem lakee ye ye ye unanitoa uderee unanitoa uderee re renda shemeji' mawizi.....
 
Bwana Yesu Asifiwe!!

hayo ndio matatizo ya vijana ambayo kila mara ninawakumbusha hapa jf: unawezaje kutumia gharama zote izo kwa GF? wkt mpo kwny mahusiano BUBU? yaan hata mahari hujatoa, kwao hujaenda kujitambulisha, wala hufaamiki, ni watu mnaokutana tu kwa siri tena gizani. na iyo wala sio njia ya ulinzi. ww mpe gari na yeye atampa MWENZAKO KWA JINA LA YESU
 
Daa kweli kila mtu na nyota yake natamani na mimi ningepata mpenz kama fredericko wa kunipa gari na kunilipia tuition fee huyu nilie nae hata nauli ya daladala ni shida kuitoa tena nilimpatia humuhumu Jf

Hahahaa jamaniii akipita hapa akaona hiii atajiskiaje......
Kumbe wa humu hawatoi pesa eeeh....
 
Last edited by a moderator:
Inaonekana hili somo la wanawake bado halijaeleweka...
 
Kwani yeye hana hisia? Hana ny**ege?
 
Dah! Mabibo hostel? Nitaanza kuchunguza nikimuona binti mwenye spacio ntajua ndio huyo na kitakachofuata nadhani utapandwa na presha kila siku
 
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole

Mkuu na uandae na kamba ya kujinyongea, girlfriend hanunuliwi gari, hajengewi wala kununuliwa nyumba, wala kusomeshwa. Hayo anafanyiwa mke tu.
Sasa it's the matter of time.
 
Hahahaa jamaniii akipita hapa akaona hiii atajiskiaje......
Kumbe wa humu hawatoi pesa eeeh....

Huoni tunavyokuwa wakali likija suala la vizinga, ulifikiri tunatania!!
 
Mwanamke ata kama umpe dunia nzma ata kucheat kama humfanyii vifuatavyo
>hana hisia na wewe
>humfrahishi kitandani
>kama hafunguki kwako na kukupa siri zake kama kujipaisha
>hafrahii sana mkiwa wote
Kifupi ni kuwa pessa itaweza kukupa kila mschana mwenye tamaa ya pessa lkn kumshika mschana moyo wake inahitaji vi2 vya ziada mkuu
 
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole

wewe ni mvulana au mwanaume? tuanzie hapo.
 
HAPO KWENYE RED...
  1. Unakuta mtu kama huyu mama yake yuko kijijini analala nyumba inavuja mvua ikinyesha.
  2. wadogo zako wanarudishwa ada kila siku, ukiambiwa unasema pesa huna
  3. wadogo zako wanasoma shule ya kata
  4. Unaishi kwenye nyumba ya kupangisha
  5. ndugu zako wakiomba msaada unawakimbiza, unasema huna
  6. mbaya zaidi kama demu yuko chuo (hasa hapo udsm) unakuta anatoka na lecturer, ana sharobaro wake chuoni (kama watano hivi..)
  7. ........
  8. ........
ushauri: mchumba/demu hasomeshwi (hili ni time bomb...) watano hivi..)........
........
ushauri: mchumba/demu hasomeshwi (hili ni time bomb...)
wewe unahonga gari tena spacio, wenzako hawaongi na wanapiga kama kawa... MAPENZI NI ZAIDI YA KUHONGA..

Anakua anawalishia wenzake wanakula..kama mke wa waziri anang'ang'ania kutoka na dereva wake ambae hana ki2..sembuse apo chuo masharobaro kibao wamkose af ye hayuko chuo..af baadae dem anawaambia washkaji kuwa baba ake ndo anamsomesha..ata mie nilkuwa na dem mda mref kumbe anasomeshwa na mshkaji flan hv
 
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole

Wolper alipewa kila ki2 na bwana wake wa enz zile adi BMW X6 lakin bado akawa sio mwaminifu na baadae akanyang'anywa vi2
 
Huoni tunavyokuwa wakali likija suala la vizinga, ulifikiri tunatania!!

Hebu nishirikishe kidg mzinga kwako unaanzia sh ngapi?
Hata ya daladala jamaniii... Huo sasa ni mkono wa birika
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom