St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Kuna naibu wa fedha mmoja wa zamani alikuwa anampa mkewe kila kitu. Nakumbuka akiendesha Nissan Patrol na Toyota Land Cruiser. matokeo yake alikuwa akiliwa na jamaa hata Baiskeli hana.
Daa kweli kila mtu na nyota yake natamani na mimi ningepata mpenz kama fredericko wa kunipa gari na kunilipia tuition fee huyu nilie nae hata nauli ya daladala ni shida kuitoa tena nilimpatia humuhumu Jf
Hahahaa jamaniii akipita hapa akaona hiii atajiskiaje......
Kumbe wa humu hawatoi pesa eeeh....
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Hahahaa jamaniii akipita hapa akaona hiii atajiskiaje......
Kumbe wa humu hawatoi pesa eeeh....
Tena natamani aone hii thread ajifunze wanaume wenzake wanafanya nini uwezo anao tena mkubwa tuHahahaa jamaniii akipita hapa akaona hiii atajiskiaje......
Kumbe wa humu hawatoi pesa eeeh....
Tena natamani aone hii thread ajifunze wanaume wenzake wanafanya nini uwezo anao tena mkubwa tu
Hii story lazma tu ina mrejesho, tena mrejesho wenye kilio
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
HAPO KWENYE RED...
ushauri: mchumba/demu hasomeshwi (hili ni time bomb...) watano hivi..)........
- Unakuta mtu kama huyu mama yake yuko kijijini analala nyumba inavuja mvua ikinyesha.
- wadogo zako wanarudishwa ada kila siku, ukiambiwa unasema pesa huna
- wadogo zako wanasoma shule ya kata
- Unaishi kwenye nyumba ya kupangisha
- ndugu zako wakiomba msaada unawakimbiza, unasema huna
- mbaya zaidi kama demu yuko chuo (hasa hapo udsm) unakuta anatoka na lecturer, ana sharobaro wake chuoni (kama watano hivi..)
- ........
- ........
........
ushauri: mchumba/demu hasomeshwi (hili ni time bomb...)
wewe unahonga gari tena spacio, wenzako hawaongi na wanapiga kama kawa... MAPENZI NI ZAIDI YA KUHONGA..
sio wote bibie, mbona federicko ameamua kutoa zawadi ya gari? Sema tunatofautiana
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Huoni tunavyokuwa wakali likija suala la vizinga, ulifikiri tunatania!!