Zari thebosslady akiwa na wanae

Zari thebosslady akiwa na wanae

Heheheee # 1 ni Mange jamani...anatamani kufa kila akimuona Zari maana hana hata kimoja cha kushindana naye

Atamfikiaje na miguu yake ya kushoto hiyooo hhhhhhhaaaaaa
 
mzuri.... pamoja na watoto wakubwa hivi.

kuna watu hata mimba hawajawah pata ila wamechooka had huruma

Huyu ashiriki mashindano ya umiss halafu aseme anamiaka 18 hakuna atakaye judge kama Bibi Bomba.
 
Du wabongo kwa kusifia mlimponda sana sasa leo sifa kemkem na madam huko anawapa madongo hamjui walikotoka mtajuaje wanakokwenda ista kimenuka
 
39 na watoto watatu wote ni boys lakn bado kabichiiiiiiiiiiiiiiiiìiiiiiiiìi......
........wakat kuna some ladies ata kuzaa hawajazaa ila wameshazeeka na kuzeeka

Hajafikisha hiyo miaka 39 kwa sasa ndiyo kwanza ana 34yrs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom