KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,902
- 40,103
Mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHAPUTAsijaelewa aisee nielewesheni huyu ni nani
Mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHAPUTAsijaelewa aisee nielewesheni huyu ni nani
Mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHAPUTA
ni mzuri kama chakula yaani kila nikitafuta kasoro yake siioni Mungu anaumba bana
Sio memba tu bali ni muasisi na mwenyekiti wa kudumu wa hicho chama.....ahaa, nashukuru kwa utambulisho mkuu, nadhani wewe ni memba mzuri wa hicho chama ndio maaana hukupata tabu kumfahamu kiongozi wako
Huyo anayejiita Dangote wa Bongo nina wasiwasi na tezi dume lake.Baba yao si MTANGANYIKA mwenzetu mwenye bahati ya mtende kuotea jangwani bila maji......
Unadhani wahenga waliposema PESA NI SABUNI YA ROHO walikurupuka....wewe unaonekana mzee kwa bibi zari....Ila na pesa nayo inaongezaga uzuri ukiwa nayo
Akose pesa ya kuweka nywele sawa, pedicure tuone kama ataendelea kuwa hivyo....Ila na pesa nayo inaongezaga uzuri ukiwa nayo
mzuri.... pamoja na watoto wakubwa hivi.
kuna watu hata mimba hawajawah pata ila wamechooka had huruma
Mzuri aseee yan mi namzidi uzee tuNi mtamu sana aisee!!!
Sio memba tu bali ni muasisi na mwenyekiti wa kudumu wa hicho chama.....
Hhhhhhhhaaaaaaa,kuna uzi nautafuta eti we msanii mwenzie na Daimond nimechekajeee
Zari mzuri mpaka naumwa jamaniiiiii,,,,,,duuuuu yaan utafikiri ana miaka 16 jamaniii
Unadhani wahenga waliposema PESA NI SABUNI YA ROHO walikurupuka....wewe unaonekana mzee kwa bibi zari....
Haya hebu muamkie wifi yako....Mzee kabisa na shkamoo yake napokea
sote tuseme......amenbasi sawa mkuu nikutakie weekend njema yenye burudani tele ndani ya nchi yetu pendwa iliyojaa upendo