Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,793
- 168,168
Huyu jimama ni mzuri kwakweli....
![]()
Kumbe ana mtoto mkubwa umri wa diamond.
Huyu jimama ni mzuri kwakweli....
Hilo limguu angekuwa ng'ombe kongolo lake lingeuzwa bei gali haki a mamaKuna watu wanajifanya hawaoni hilo kwa makusudi
Hilo limguu angekuwa ng'ombe kongolo lake lingeuzwa bei gali haki a mama
Huyu jimama ni mzuri kwakweli....
Huku kwetu ingekuwa akikutana na Mkali Diamond, angeambiwa amuite Uncle Dai... sasa kule kwao cjui atatambulishwa vipi!! Sipati picha First Solider ndo anaona video ya show moja kule Mwanza ambapo![]()
Kumbe ana mtoto mkubwa umri wa diamond.
Huyu msupa mashalah! Mungu alipendelea hapo, wema anasubirii miaka bilion 8....hahahahaha!! Mahaba nipeleke West Africa nikadake Ebola!! Mweh!!
Zari mzuri mpaka naumwa jamaniiiiii,,,,,,duuuuu yaan utafikiri ana miaka 16 jamaniii
Huyu jimama ni mzuri kwakweli....