Wapi maziwaaaaaaaaaaaaa vifua vinawaumaaaa
mbona watashaaaa
Wapi maziwaaaaaaaaaaaaa vifua vinawaumaaaa
zali ana mwili mzuri kama wa "my wife wangu",kanizalia watoto watatu na bado anaonekana "kichuna".
Cc wemaSepetu
Huku kwetu ingekuwa akikutana na Mkali Diamond, angeambiwa amuite Uncle Dai... sasa kule kwao cjui atatambulishwa vipi!! Sipati picha First Solider ndo anaona video ya show moja kule Mwanza ambapo
Bi. Shost Wema alikatika ile mbaya:
First Soldier: Uncle Dai, who's this woman?
Uncle Dai: Anh, you know what Uncle Soldier... anh, this's... anh..
First Soldier: Who? Your sister?
Uncle Dai: Anh... yes, she's my sis...no, she's my dancer!
Heshima kwako mwanaume unayemsifia mkeo,napenda sana
Zari mzuri mpaka naumwa jamaniiiiii,,,,,,duuuuu yaan utafikiri ana miaka 16 jamaniii
Hahahaaaa wewe mchokozi sana...jamaa ataona aibu kusema demu wake maana mipaja iliyooza na vile viguu ni aibu kumfananisha na mrembo Zari
Cc wemaSepetu
Kuna watu wanajifanya hawaoni hilo kwa makusudi
Kuna vitu haviitaji kusema ni vikali ndio viwe vikali.Mtt ni mkali japo umri umeenda na kashazaa.Kweli Mondi kafaidi Wema mwenyewe kajisemea wivu hana ila rohoooo.........
Heheheee # 1 ni Mange jamani...anatamani kufa kila akimuona Zari maana hana hata kimoja cha kushindana naye
zali ana mwili mzuri kama wa "my wife wangu",kanizalia watoto watatu na bado anaonekana "kichuna".
Dada mbona umetoa kauli kali hivyo kwa wifi yako.....????Gume gume lililoshindikana na mitume.............
Baba yao si MTANGANYIKA mwenzetu mwenye bahati ya mtende kuotea jangwani bila maji......Nina amini mwanamke mzuri ni yule aliyemvutia mwanaume, akaolewa na kudumu katika ndoa.
Kwa huyu naona Watoto tu Baba yuko wapi?