Mr Mav
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 445
- 154
Kweli mkuuAlaaaa kumbe hata wao hizo mimba wanazopata Kama sio kutoa wangekuwa na watoto wengi na wasingeona ajabu zari kuwa na watoto wengi.
Kweli mkuuAlaaaa kumbe hata wao hizo mimba wanazopata Kama sio kutoa wangekuwa na watoto wengi na wasingeona ajabu zari kuwa na watoto wengi.
Kweli kabisawengine kwao wamezaliwa 9 kama sio 11 lakini hapa kujifanya wanamponda Zari hebu kwendenu zenu kule
as long as she can take care I them muacheni azae
Eti watu wanamshangaa zari wakati ukienda kijijini kuna wanawake wenye hadi watoto 15Kama ana kizazi acha azae tu maana tumeambiwa tuje tuijaze dunia
Unaweza kukuta wewe kwenu mpo 12. Sjui Unaweza kumuhoji mama au baba yako ilo swali!!?mda mwingine muwe na adabu Shexxxxy...Sipatii picha uchi wake, watoto nwote hao?
Hapo ndio utakaposhangaa.Kuna Watu humu visimbilisi!kwa zari labda ashangae mzungu ila sio sisi ngozi nyeusii.utakuta hapo kwao wap kibao,au kwa ndugu zao lakini hawasemi ila kwa zari wanaongea shitwengine kwao wamezaliwa 9 kama sio 11 lakini hapa kujifanya wanamponda Zari hebu kwendenu zenu kule
as long as she can take care I them muacheni azae
na tusinyimane..........mkuuBado mkuu hata mungu alituambia tukaijaze dunia kwa hiyo zari anastahili pongezi kwa kuwa anaifanya vyema ile kazi aliyotumwa.
Kweli mkuu wengine wanajifanya kumponda wakati kwao ni tm ya taifaUnaweza kukuta wewe kwenu mpo 12. Sjui Unaweza kumuhoji mama au baba yako ilo swali!!?mda mwingine muwe na adabu Shexxxxy...
anaitwa.Manda.mkuu
Hivi huyu dogo la Tifwa aitwa nan!?
Sio tu kupenda kuzaa angemalizia kabisa kuzaa na wanaume wenye pesa, mbona ya yule mcheza basketball aliitoaWakati mabinti wengine wakijikita katika matumizi ya mikorogo na kukimbilia wanaume wenye pesa hali ni tofauti kwa mwanamama zari hassan (the boss lady ) ambaye amekiri wazi kuwa kitu anachopenda zaidi katika maisha yake ni kuzaa. Zari ambaye ni mpenzi wa mwanamziki nyota Africa diamond platnumz amesema hayo ikiwa ni siku chache tangu apate mtoto wa kiume aliyezaa na diamond ambaye watu walimbeza kuwa anazaa bila mpangilio eti kiza tu alibeba ujauzito kabla ya mtoto wao wa kwanza tiffah hajatimiza mwaka mmoja. Licha ya zari kuwa na watoto watano kwa sasa ameweka wazi kuwa kwa sasa yeye na diamond wana mpango wa kuzaa mtoto mwingine wa tatu na baada ya hapo hatozaa tena na badala yake watajikita zaidi katika kuwalea watoto wao.
Kabisa mkuu.Alaaaa kumbe hata wao hizo mimba wanazopata Kama sio kutoa wangekuwa na watoto wengi na wasingeona ajabu zari kuwa na watoto wengi.
Mpaka sasa unso wangapiLabor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Kabisa umeandika hivi, kwani anaipunguzui nini serikali?
Yaan umenichekesha wewe sio vizurii mpaka nimeshtuka jamaniiiHuyu Zari tunaomba serikali iingilie kati kwa kweli washa toshaaa.
HaahahahhaahahSipatii picha uchi wake, watoto nwote hao?