Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 737
- Thread starter
- #21
HakikaVizuri, Mola amzidishie baraka.
HakikaVizuri, Mola amzidishie baraka.
Mapenzi. Inaonekana huyu mwanamama anampenda sana diamond ndio maana haoni na wala hasikii kwa huyu kijanaHuyo nae anatumia watoto kama mtaji , chezea child support , eti anapenda kuzaa why hakuzaa na yule mwanamme wake choka mbaya mwenye sixpark?baada ya kutengana na mme wake , kabla hajampata diamond why hakuzaa na hao wanaume?
Angalau wa4 bana iwe pair 2=girls and 2 boys, hapo vipi!!!Labor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Acha azae bhana, wengine wanazaa zaidi ya 7 lkn wanaua kwa ku.....Huyu Zari tunaomba serikalo iingilie kati kwa kweli washa toshaaa.
Huyu Zari tunaomba serikalo iingilie kati kwa kweli washa toshaaa.
Dada uko vizuri,hongera sana.Vipi unaweza kutuambia hadi umri wake ule keshatembea na midume mingapi .........???Huyo nae anatumia watoto kama mtaji , chezea child support , eti anapenda kuzaa why hakuzaa na yule mwanamme wake choka mbaya mwenye sixpark?baada ya kutengana na mme wake , kabla hajampata diamond why hakuzaa na hao wanaume?
Wengine abortion ambassadors!Labor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Kinachoshangaza ni watu kuona ajabu ya zari kuzaa watoto wengiIko ni kitu cha kawaida..
Kwa hiyo hii sio habari ya kusisimua.
Watoa mimba ni lazima washangae maana wao kwao ngono ni biashara.Kinachoshangaza ni watu kuona ajabu ya zari kuzaa watoto wengi
Alaaaa kumbe hata wao hizo mimba wanazopata Kama sio kutoa wangekuwa na watoto wengi na wasingeona ajabu zari kuwa na watoto wengi.Watoa
Watoa mimba ni lazima washangae maana wao kwao ngono ni biashara.