Zari anasa mimba ya mzungu

Zari anasa mimba ya mzungu

Yupo kibiashara sana kitu ambacho ni wanawake wachache sana wanaweza fanya hivyo!
 
Dada ameshazoea kujifungua!huyu anaweza kujifungua peke yake bila usaidizi wa madaktari
 
Yaani umechukua udaku wa gazeti la sani kuuleta huku.
Hivi si kawaachia mwanaume wenu au..
Halafu lazima kuna mtu anataka kumchafua.. natamani awape cha moto
Halafu picha wameweka ya mkaka alifanya deco kwa bday ya mtoto wao na Nasibu
Kweli wapambane na mwanaume wao tu
 
Kwa nafasi aliyonayo Zari au Dia wadhani nani anaweza kufanya kitu kumkomoa kwenzake?
 
Yule baba wanaesema anatoma nae si Mtanzania yule. Au kisa mweupe?
 
Diamond bado anapiga mzigo hapo kimyakimya
 
Back
Top Bottom