Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,699
Mara baada ya kuachana na Diamond Platnumz hatimaye Zari the boss amenasa mimba ya mzungu.
Habari nyeti kutoka mitaa hiyo zinasema mzungu huyo amekuwa na mahusiano ya kimya kimya na Zari kwa muda mrefu hata kabla hawajaachana na Diamond.
Aidha inasemekana chanzo cha Zari kupata "kiburi" cha kumtema Dai, ni mzungu huyo ambaye alikuwa akimpa "jeuri"
Stay tuned.
Habari nyeti kutoka mitaa hiyo zinasema mzungu huyo amekuwa na mahusiano ya kimya kimya na Zari kwa muda mrefu hata kabla hawajaachana na Diamond.
Aidha inasemekana chanzo cha Zari kupata "kiburi" cha kumtema Dai, ni mzungu huyo ambaye alikuwa akimpa "jeuri"
Stay tuned.


