Jamani Kwa ambaye amedhaweza kuangalia hili tukio anifahamishe nashindwa kuangalia
Nimelipia online ila hakuna code hakuna lolote huu husiwe ukawa utapeli
Hahaha!Bei ilitangazwa kwa nje ni dola 5.
Hili ndilo jibu.Watu wengine sijui wakoje...sifa tu.
Wale tusiopenda kusimuliwa, leo mbona tunakoma
Umejishtukia eeh? Hahahahaaa
Lako hilo.
Una uhakika gani kama hajui? Mtu kauliza swali kama huwezi kujibu ungepita kimyakimya tu.
Alieseti payment ya international alisahau kuiondoa kwenye demo kwahiyo
Haujakatwa pesa na ujumbe wote wamepata huo kuwa pesa haijachajiwa....muwe mnasoma maneno yote kwenye email na pia hakuna kodi sababu haujalipia
So haudai pesa...
Wamejidhatiti
Mkuu ni $5Jamani Kwa ambaye amedhaweza kuangalia hili tukio anifahamishe nashindwa kuangalia
Nimelipia online ila hakuna code hakuna lolote huu husiwe ukawa utapeli
hata ukitumiwa code huwezi kuenjoy...full echoes...uki log out ili utumie browser nyingine ndo inakula kwako, coz wanasema code inatumika else where
namba ya simu waliyoweka haipatikani
Hamia Airtel u enjoy internet ya kasi na yatosha hai scratch scratch.....
Mkuu tatizo sio airtel au tigo, tatizo ni huyo alopewa shavu la kurusha show live online.... Mbona online TVs nyingine zina stream vizuri?
Jamani Kwa ambaye amedhaweza kuangalia hili tukio anifahamishe nashindwa kuangalia
Nimelipia online ila hakuna code hakuna lolote huu husiwe ukawa utapeli