Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 479
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akifurahia bao la nne la mkwaju wa penalti lililoipa ubingwa Zanzibar Karume Boys wa CECAFA kwa vijana chini ya umri wa miaka 15.
Uganda ndio walikuwa mabingwa watetezi wa Kombe hilo.
Rais Dk. Mwinyi alikuwa akifuatilia fainali hiyo ofisini kwake Ikulu Mnazi Mmoja.
Ikulu Zanzibar.
#####
ZANZIBAR YATWAA UBINGWA WA CECAFA U15 KWA PENATI
Timu ya Taifa ya Vijana ya Zanzibar 'Karume Boys' imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa CECAFA U15 2023, ambayo ilihusisha Timu za Vijana chini ya umri wa miaka 15.
Karume Boys umebeba Ubingwa Kwa njia ya matuta 4-3 dhidi ya Uganda baada ya sare ya 1-1.
Uganda ndio walikuwa mabingwa watetezi wa Kombe hilo.
Rais Dk. Mwinyi alikuwa akifuatilia fainali hiyo ofisini kwake Ikulu Mnazi Mmoja.
Ikulu Zanzibar.
#####
ZANZIBAR YATWAA UBINGWA WA CECAFA U15 KWA PENATI
Timu ya Taifa ya Vijana ya Zanzibar 'Karume Boys' imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa CECAFA U15 2023, ambayo ilihusisha Timu za Vijana chini ya umri wa miaka 15.
Karume Boys umebeba Ubingwa Kwa njia ya matuta 4-3 dhidi ya Uganda baada ya sare ya 1-1.