Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Kwani nani amemzuia kufanya kazi? Nani mwenye uwezo huo, kama ana uwezo wa kumshughulikia mtu ndani ya dk 5 kuna mtu wa kumzuia kufanya kazi? Na kulalama kunamzuiaje kufanya kazi. Kabla ya kupost soma kwanza ulichoandika na kutafakari mkuu!Tumuache mh afanye kazi,kwan Watanzania tumekua watu wakulalama kila siku?