Wakuu aina nia ya kudhalilisha au kumdhalilisha yeyote lakini kuna mambo yamenisikitisha sana katika sherehe za Mei mosi.
Nimeangalia sherehe za Mei mosi ambazo zimehutubiwa na rais Mwinyi kuna vitu vimenisikitisha sana.
- Sherehe imepooza kama tukio la serikali za mitaa bara.
- Watu wanyoonge kuanzia maafisa wa ikulu hadi wafanyakazi wa kawaida na raia
- Nimesikitika kuona moja viongozi wa wafanyakazi akisoma wafanyakazi bora kwenye karatasi lililojikunja kama lilifungiwa mihogo
- Maafisa ikulu na walinzi wa rais wanakatisha hovyo hovyo mbele ya rais kama wanafunzi wa shule ya msingi halafu wametazama chini
- Watu wanaenda kumnong'oneza rais utafikiri wako kwenye kikao cha kikoba.
- Brassband sasa wamevaa ma overcoat kama mafundi mchundo aaaa
Hivi sisi tunaweza kitu gani?
Mshana Jr
Sijasema hivyo mkurugenzi. Ninachojua Wazanzibari wengi hawana vichogo kama sisi Wabara. Na mara nyingi hutuita Watanganyika Machogo!Kwamba wana vichwa vya mataahira.
Na ndio maana kwa chogo langu nkaweka neno kakasi kama lao.Sijasema hivyo mkurugenzi. Ninachojua Wazanzibari wengi hawana vichogo kama sisi Wabara. Na mara nyingi hutuita Watanganyika Machogo!
Vyao vipo kiarabu ni maumbile.Hivi huwa vichwa vinapigwa bapa utotoni?
Brassband sasa wamevaa ma overcoat kama mafundi mchundo aaaaWakuu aina nia ya kudhalilisha au kumdhalilisha yeyote lakini kuna mambo yamenisikitisha sana katika sherehe za Mei mosi.
Nimeangalia sherehe za Mei mosi ambazo zimehutubiwa na rais Mwinyi kuna vitu vimenisikitisha sana.
- Sherehe imepooza kama tukio la serikali za mitaa bara.
- Watu wanyoonge kuanzia maafisa wa ikulu hadi wafanyakazi wa kawaida na raia
- Nimesikitika kuona moja viongozi wa wafanyakazi akisoma wafanyakazi bora kwenye karatasi lililojikunja kama lilifungiwa mihogo
- Maafisa ikulu na walinzi wa rais wanakatisha hovyo hovyo mbele ya rais kama wanafunzi wa shule ya msingi halafu wametazama chini
- Watu wanaenda kumnong'oneza rais utafikiri wako kwenye kikao cha kikoba.
- Brassband sasa wamevaa ma overcoat kama mafundi mchundo aaaa
Hivi sisi tunaweza kitu gani?
Mshana Jr
Kijiji cha Zanzibar kiunganishwe na Pwani yaishe.Wakuu aina nia ya kudhalilisha au kumdhalilisha yeyote lakini kuna mambo yamenisikitisha sana katika sherehe za Mei mosi.
Nimeangalia sherehe za Mei mosi ambazo zimehutubiwa na rais Mwinyi kuna vitu vimenisikitisha sana.
- Sherehe imepooza kama tukio la serikali za mitaa bara.
- Watu wanyoonge kuanzia maafisa wa ikulu hadi wafanyakazi wa kawaida na raia
- Nimesikitika kuona moja viongozi wa wafanyakazi akisoma wafanyakazi bora kwenye karatasi lililojikunja kama lilifungiwa mihogo
- Maafisa ikulu na walinzi wa rais wanakatisha hovyo hovyo mbele ya rais kama wanafunzi wa shule ya msingi halafu wametazama chini
- Watu wanaenda kumnong'oneza rais utafikiri wako kwenye kikao cha kikoba.
- Brassband sasa wamevaa ma overcoat kama mafundi mchundo aaaa
Hivi sisi tunaweza kitu gani?
Mshana Jr
Waunganishwe na wilaya ya Pangani.Haha wapemba unawajua wewe?