BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,515
Ninavyojua ni kwamba sherehe za Mei Mosi ni ziko chini ya Vyama vya wafanya kazi na Serikali au Viongozi wa Serikali hufanya kualikwa tu.
Nakumbuka kuna kipindi Vyama viligoma kumualika JK enzi zile wakamualika Dr Slaa.
Sasa how come kwamba Rais kasitisha sherehe ambazo kimsingi zilipaswa kusitishwa na vyama vya wafanyakazi make ni shughuri yao ile na sio ya serikali.
Nakumbuka kuna kipindi Vyama viligoma kumualika JK enzi zile wakamualika Dr Slaa.
Sasa how come kwamba Rais kasitisha sherehe ambazo kimsingi zilipaswa kusitishwa na vyama vya wafanyakazi make ni shughuri yao ile na sio ya serikali.