Dindira
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 2,912
- 3,468
Mkuu umesahau kipengele kimoja.Hivi kuna mwezi mtukufu na usio? Siku tukufu na isiyo?ila wakoloni walituweza aisee
Anayehukumu kwa kula mchana,ni mzinzi hatari,anayehukumu walevi ni mwizi halaa,anayehubiri haki amani na upendo ni msengenyaji wa kutupwa. Nini kujivika viatu vya Mungu?Mbona neno liko wazi tu 'usihukumu usije ukahukumiwa'![]()
Mwizi wa kura wakati wa uchaguzi ndio anaingia bungeni kutunga sheria za kudhibiti wizi. Ndio maana wezi wote wa kura ambao pia ni wezi wa Mali za taifa hawataki kuiona report ya CAG.
Mnamkumbuka Ndugai alivyomcharaza mtu bakora kipindi cha uchaguzi? Ndugai ndio alipita na hatimae kushinda. Na huko Zanzibar.......

