Zanzibar ni Non secular state?

Zanzibar ni Non secular state?

Jibu swali: Zanzibar ni non secular state?
Zanzibar sio Tanzania?
Kati ya mgeni aliyetokea Ufaransa na aliyetokea Dar es salaam yupi mgeni hapo?
Au hujaona wazungu wakinywa maji hadharani na kuogelea ufukweni na vichupi?
Kwanini umforce mtu aishi utakavyo?

Sasa Mzanzibar amfokee au ampangie maisha mzungu kutoka ulaya kwa nini? anampangia Mtanganyika kwa kuwa ni ndugu yake. Anamfunza ustaarabu wa kuheshim utamaduni.
 
Dini hii ililetwa na majahazi na sio utamaduni wa Zanzibar kasome kitabu cha decolonization the Mind cha Ngugi was Thiongo.
 
Si kweli ndugu.hakuna anaelazimishwa kufunga,wengi hawafungi sababu jambo la kufunga linatokana na imani.
Kinachopiganiwa zanzibar ni kuipata swaumu iliyo sahihi na ili ipatikane funga iliyo sawa ni lazima kukabiliana na yenye kufunguza.nafsi ya mwanadam imeumbwa na matamanio hivyo kula hadharani kutaathiri funga za waliofunga,kutazama Dada zetu wasiojistiri vema maungo yao itaathiri funga.
Kwa mazingira ya Tanganyika hasa dar na miji mingine mikubwa kufunga kwa usahihi ni jambo gumu sana sababu ya mazingira yenye kufunguza kuwepo bila kukemewa kutokana na uwiano wa dini hizi mbili kuwa sawa.

Kufunga si kujizulia kula na kunywa.
Pale mwezi wa ramadhani wote ni lazima mfunge ole wako uende kinyume
 
Umpige mtalii ..wakati uchumi wao unategemea hilo?
Serikali haikuachii..
Lakini..si msiende kipindi hiki?
Waacheni na tamaduni zao bwana!
Bara kuna makabila na mila zao...kule dini ni kama mila yao hakuna makabila..
Waacheni...
Kwanza hata huo utalii wananchi ni hawautaki unachangia sana kuiharibu znz...maana inaleta watu wa ajabu ajabu na tabia za kwao huko..
 
Kama funga yako inatoka rohoni utashindwaje kustahimili vishawishi.Kwasababu kutamani sio lazima iwe chakula au wanawake.Kwaiyo ukiona umefunga alafu hutaki kuona vitakavyojaribu imani yako hapo itakua umeshinda njaa.
Si kweli ndugu.hakuna anaelazimishwa kufunga,wengi hawafungi sababu jambo la kufunga linatokana na imani.
Kinachopiganiwa zanzibar ni kuipata swaumu iliyo sahihi na ili ipatikane funga iliyo sawa ni lazima kukabiliana na yenye kufunguza.nafsi ya mwanadam imeumbwa na matamanio hivyo kula hadharani kutaathiri funga za waliofunga,kutazama Dada zetu wasiojistiri vema maungo yao itaathiri funga.
Kwa mazingira ya Tanganyika hasa dar na miji mingine mikubwa kufunga kwa usahihi ni jambo gumu sana sababu ya mazingira yenye kufunguza kuwepo bila kukemewa kutokana na uwiano wa dini hizi mbili kuwa sawa.

Kufunga si kujizulia kula na kunywa.
 
Nchi ikishakua na Waislam kwa zaidi ya 70% hiyo lazima itaendeshwa kwa sheria za Kiislam tu, japokuwa zinaweza kuwa hazijaingizwa kwenye katiba rasmi, ila nchi itaendeshwa kiislam
Waislam wakishakuwa wengi zaidi mahali lazima wafanye sheria zao ndio sheria za nchi
Wakienda sehemu ambazo wao ndio wapo wachache, wataanza kudai kutengewa naeneo ya kuswalia,
Mkuu hiyo ipo kotekote sehemu yeyote yenye idadi kubwa ya waumini wa imani fulani lazima hiyo imani iwe na athari kwenye hiyo jamii.
 
Habari !
Kwa waliowahi kufika au kuishi Zanzibar kipindi cha mwezi wa Ramadhani, almaarufu kama mwezi mtukufu wamewahi kuona sheria kali zilizotungwa na mamlaka ndogo Ila zina nguvu kubwa kwakuwa wasimamizi wakuu si polisi tena bali ni wananchi na polisi husaidia tu panapohitajika msaada.
Sheria ya namna ya kula chakula au vinywaji wakati wa Ramadhani huko Zanzibar zinakera na kunyima Uhuru wa watu wengine.
Inafika wakati hata kwako ili upike itakubidi ufunge milango na uhakikishe haukaangi maana vyakula vikinukia tu wananchi hao wamekuvamia.
Je, Zanzibar si Tanzania ?
Zanzibar ni non secular ?
Acha upuuzi hoji Vitu Vya Msingi
 
Ilibidi vitu vyote. Sheria ,katiba n.k za tanganyika zitumike hadi zanzibar.mtu ukitoka bara kwenda znz unaishi kwa shida utafikiri znz sio tanzania,au vinginevyo watuambie znz ni nchi kamili haipo tanzania.
Ndio unaambiwa kwa vitendo sio kwa maneno. Ukiambiwa kwa maneno si unaleta majibizano, sasa unaambiwa kwa vitendo
 
Nchi ikishakua na Waislam kwa zaidi ya 70% hiyo lazima itaendeshwa kwa sheria za Kiislam tu, japokuwa zinaweza kuwa hazijaingizwa kwenye katiba rasmi, ila nchi itaendeshwa kiislam

Waislam wakishakuwa wengi zaidi mahali lazima wafanye sheria zao ndio sheria za nchi

Wakienda sehemu ambazo wao ndio wapo wachache, wataanza kudai kutengewa naeneo ya kuswalia,

Kwa hiyo unataka kusema wakiwa wengi au wachache watataka kutambuliwa tuuu...
Mfano wakienda Vatican leo watahitaji kutengewa eneo lao la kuabudia??
 
Back
Top Bottom