No, mimi sina chuki
Mimi napenda binadamu wote tuishi kwa pamoja, na hata kama tuna imani au tamaduni tofauti kila mmoja anaweza kumvumilia na kumheshimu mwenzake
Hii pointi ya chuki ndio kimbilio la Waislam kila wanapokosolewa, ila kwa mtu neutral ataona Waislam ndio wenye chuki kwa wasio Waislam
Mifano ipo mingi kuanzia hapo Zanzibar, Misri, Sudan, Morocco, Saudi hadi Pakistan,ambako ukiwa tofauti na imani ya Kiislam utanyimwa haki nyingi za raia, kunyanyaswa na hata kuuawa
Mkuu Hebu twambie Zanzibar kuna nini kwani kubwa linalokushulisha?
Na Mbona waislamu wanabaguliwa sana India husemi lolote juu ya Ilo? mbona nchi tele Ulaya na kwengine waislamu wanazuiwa hata kupaza sauti katika adhan za ibada zao? sasa kwanini wao wanapokua katika mazingira yao wakijipangia taratibu zao munakua na tatizo nyie?