Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,944
- 2,153
Kwa takwimu zipi?Dini hizi mbili kuwa sawa kwa takwimu ipi haswaaa ulionayo? Uslam huku bara ni 20 kwa 80 ya ukristo.
Kwa takwimu zipi?Dini hizi mbili kuwa sawa kwa takwimu ipi haswaaa ulionayo? Uslam huku bara ni 20 kwa 80 ya ukristo.
kwan kwa kuuzwa wabara kwa mabwana zenu wa uislam huo ni ubinadam, chunguza dini yako kabla hujaifanya kuwa kila kitu kwako.Mkuu hili unalijua vyema? Labda nikukumbushe usome historia ya utumwa. Pale zanzibar ilikuwa watumwa wakiuzwa baada ya hao watumwa kuchukuliwa kutoka Bara. Mkuu soma historia ujikumbushe. Hakuna Mzanzibar aliyeuzwa, kwa hivyo baba zao hawakuwahi kuuzwa.
Angalia hata wingi wa misikiti na makanisa, wingi wa watu ktk siku zenu za sikukuu na za ukristo.. hakuna kitu nakuchikia duniani kama kuishi kwa kutumikishwa kiimani kwa dini zinazowapa maslahi waupe, upuuzi mtupu!!Kwa takwimu zipi?
Mkuu najenga hoja kwamba Wazanzibar baba zao hawajauzwa kuwa watumwa kama ulivyodai. Hili la ubinadamu unalisema wewe baada ya kukoda hoja. Mimi nimejibu ulichoandika. Jaribu kuwa sober unapoandika. JF the home of great thinkers.kwan kwa kuuzwa wabara kwa mabwana zenu wa uislam huo ni ubinadam, chunguza dini yako kabla hujaifanya kuwa kila kitu kwako.
Kama kweli pepo ipo, siku ya kihama nikamkuta muislam yeyote peponi walahi nitaomba nichomwe motto tu, maana hakuna maana halisi ya neno pepo lenyewe.Mkuu najenga hoja kwamba Wazanzibar baba zao hawajauzwa kuwa watumwa kama ulivyodai. Hili la ubinadamu unalisema wewe baada ya kukoda hoja. Mimi nimejibu ulichoandika. Jaribu kuwa sober unapoandika. JF the home of great thinkers.
Wingi wa nyumba za ibada hautoi yakwimu ya idadi ya waumini na badala yake unatoa takwimu ya idsdi ya hayo majeno. Majengo na idadi ya waumini ni vitu viwili tofauti. Hivyo mimi nataka ushahidi wa wingi wa waumini kwa mlinganisho.Angalia hata wingi wa misikiti na makanisa, wingi wa watu ktk siku zenu za sikukuu na za ukristo.. hakuna kitu nakuchikia duniani kama kuishi kwa kutumikishwa kiimani kwa dini zinazowapa maslahi waupe, upuuzi mtupu!!
Utaongeza majengo ilihali hakuna waumini, naona kizaa ktk kufkiri kwako!!Wingi wa nyumba za ibada hautoi yakwimu ya idadi ya waumini na badala yake unatoa takwimu ya idsdi ya hayo majeno. Majengo na idadi ya waumini ni vitu viwili tofauti. Hivyo mimi nataka ushahidi wa wingi wa waumini kwa mlinganisho.
Hili la pepo na moto linakujaje? Lina uhusiano wowote na hoja ya utumws? Kuishi kwingi ni kuona mengiKama kweli pepo ipo, siku ya kihama nikamkuta muislam yeyote peponi walahi nitaomba nichomwe motto tu, maana hakuna maana halisi ya neno pepo lenyewe.
Ahsante kwa mda wako na kwa kheri.
Umefikia huo wakati?Inafika wakati hata kwako ili upike itakubidi ufunge milango na uhakikishe haukaangi maana vyakula vikinukia tu wananchi hao wamekuvamia.
Hivi kuna mwezi mtukufu na usio? Siku tukufu na isiyo?ila wakoloni walituweza aisee
Anayehukumu kwa kula mchana,ni mzinzi hatari,anayehukumu walevi ni mwizi halaa,anayehubiri haki amani na upendo ni msengenyaji wa kutupwa. Nini kujivika viatu vya Mungu?Mbona neno liko wazi tu 'usihukumu usije ukahukumiwa'![]()
Sasa haupo Zanzibar ila unatoa ushauri kwa kitu ambacho unaelezwa na watu waliopo au waliwahi kuwepo ZanznibarKasome katiba yao inasemaje.
Wote ni wageni wa Dar anaweza kupata kitambulisho cha mzanzibari kisheria?
Sipo zanzibar sijaona hilo jambo nimetoa ushauri wa kuheshimu sheria ukiwa ugenini tu.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Sehemu zipo nyingi tuu, hata pale barabara ya mkapa kuna kambi ya jeshi akitaka anakula,Nimeishi huko sehemu za kula utakavyo kipindi hiki ni kwenye makambi ya jeshi. Eneo la Dunga Ubago unajilia tu kule sheria za kipuuzi kama hizo hakuna

Hebu nipe hiyo mifano ya nchi yenye Wakristo wengi, ambayo inalazimisha Waislam kusitisha shughuli zao za kiuchumi kwa mwezi mzima au zaidi kwa ajili ya utaratibu tu wa Dini yaoTunashindwa kuelewana kitu kidogo tu kuna tofauti ya nchi ya kiislamu na nchi yenye waislamu wengi,zanzibar sio nchi ya kiislamu bali kuna waislamu wengi na ndiyo na hali hiyo hufanya tararibu zao kuwa na athari na uislamu,hata kama serikali isingepiga marufuku ila kuna biashara nyingi tu za chakula wenyewe wangefunga mchana wa mwezi wa ramadhani hata huku bara mambo hayo yapo ndio itakuwa huko kwenye waislamu wengi?
Hivyo sio hilo tu la ramadhani tu bali kuna mambo mengi sana zanzibar ambayo taratibu utaona zina athari na dini yao na si kwamba wanafanya hayo kwa sababu yao dini imewataka wafanye hivyo bali wenyewe wameamua kufanya hivyo.
Sasa hata kwenye nchi zenye wakristo wengi mambo hayo yapo hata kama huwezi kulinganisha sawa na uislamu.
Sio kweli kma ukipika kkmya kimya wakiskia harufu tu wanakuvamia ,Habari !
Kwa waliowahi kufika au kuishi Zanzibar kipindi cha mwezi wa Ramadhani, almaarufu kama mwezi mtukufu wamewahi kuona sheria kali zilizotungwa na mamlaka ndogo Ila zina nguvu kubwa kwakuwa wasimamizi wakuu si polisi tena bali ni wananchi na polisi husaidia tu panapohitajika msaada.
Sheria ya namna ya kula chakula au vinywaji wakati wa Ramadhani huko Zanzibar zinakera na kunyima Uhuru wa watu wengine.
Inafika wakati hata kwako ili upike itakubidi ufunge milango na uhakikishe haukaangi maana vyakula vikinukia tu wananchi hao wamekuvamia.
Je, Zanzibar si Tanzania ?
Zanzibar ni non secular ?
Duh yani kukueleza kote bado unarudia palepale tu!!!Hebu nipe hiyo mifano ya nchi yenye Wakristo wengi, ambayo inalazimisha Waislam kusitisha shughuli zao za kiuchumi kwa mwezi mzima au zaidi kwa ajili ya utaratibu tu wa Dini yao
Wabara ndo waliuzwa kwani walionekana wao ndo wanaweza kufanya kazi nzito na ngumu snaMkuu hili unalijua vyema? Labda nikukumbushe usome historia ya utumwa. Pale zanzibar ilikuwa watumwa wakiuzwa baada ya hao watumwa kuchukuliwa kutoka Bara. Mkuu soma historia ujikumbushe. Hakuna Mzanzibar aliyeuzwa, kwa hivyo baba zao hawakuwahi kuuzwa.

Huyo jamaa kaongea kwa chuki na kutuchonganisha tuUmefikia huo wakati?
Unamtawala nani wewe eti?Bora tuendelee kuwatawala tu hao midebwedo kwa ungese huo