MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,784
Kwahiyo wewe unataka kusema Sultan Seyyid Said na Jamshid (waarabu) wana common culture, history and language na wabantu wakina Karume ???Hujaelewa bado maana ya taifa? Ngoja nirudie tena
A nation is a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality.
Mataifa yapo mengi. WaIrish ni taifa, WaBritish ni taifa, WaJapan ni taifa, WaIran ni taifa n.k. Zanzibar ni taifa ukisoma vizuri hiyo maana ya taifa, ukijua historia ya Zanzibar utaona Zanzibar ni taifa. Tanganyika ilivyokuwepo haikuwa taifa. Ilikuwa ni nchi bandia.