magagagigikoko
Senior Member
- Nov 13, 2017
- 166
- 167
Sifa ya ajira ya Askari wetu walio wengi ni kuwa na matokeo mabaya ya Aisha form IV au form VI na vimemo. Huwa hawajisumbui kabisa kufikiri kabla ya kufanya jambo tena Kwa binadamu wenzaoUsicheke mkuu!!
hivi vikosi vyetu vya ulinzi na usalama ni bure kabisa, sijui huwa wanatumia vigezo gan kuwaajir hawa watu, sasa mm najiuliza wangekuja wakanifahamisha vizur kwamba natakiwa kuondoka kwenda nyumbani mm ningewabishia? Si ningeondoka zangu kwa amani tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
