Zanzibar kuna lockdown ?

Zanzibar kuna lockdown ?

Akikuambia nionyeshe?🤣🤣🤣🤣
Akiwa afande wa kike nitamuonyesha itategemea na uzuri wake ila tofauti na hapo naanza kumuhubiria haki za binadamu sio kuonyesha tupu hovyo Ni uzalilishaji😜
 
Duu itakua lock down ya mwenyekiti wa mtaa huo
 
Akiwa afande wa kike nitamuonyesha itategemea na uzuri wake ila tofauti na hapo naanza kumuhubiria haki za binadamu sio kuonyesha tupu hovyo Ni uzalilishaji

KENZY wewe ni katika Wazanzibari watukutu.
 
we jinga kweli yaan
hapa nilikuwa na mihasira na stres zangu
lkn imenibidi nicheke tu yaan

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kama unajiita mzimu unafikiri stress zitakuepuka..?
Nilishaandika humu uafrika ni tabu sana pamoja na shida tunazopitia maishani bado tukifa tunahitajika kuwa mizimu kutatua shida za ukoo!! Sasa wewe ushajiita mzimu kabla ya uzimwi wenyewe unategemea nini kama sio stress hapo unakuta unalaani hata kitu hakihusiani na matatizo yako ila unakuta unakilaumu tu ukikuta hata kopo mbele yako unalipiga teke utafikiri lilikuambia uwe na stress mkuu badili jina shauli yako.
 
Hujapigwa na wahuni wewe lakini? 😀 Hakuna lockdown ila imekatazwa watu kukaa maskani na vikundi vikundi
 
Niko mtaani mara nashtukia mkwaju wa mgongo nageuka niulize kulikoni nakula mtama nikanyanyuka na kutoka mbio, nimefika huko mbele nawauliza watu naambiwa kuanzia saa 12 haruhusiwi mtu kuzurura barabaran kisa tishio la korona,

Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari kama tv's, redio na magazeti na sijaona wala kusikia tamko rasmi la Serikali ya SMZ kuhusu watu kutotoka nje, kwanini wasitutangazie kuliko kuvamia na kusumbua watu?


Mbona mm natembea wala cjawah kupigwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂mkuu sipati picha ulipopigwa mtama ulitua kwa nn chini...
Au ulikua utembea huku unapga chafya?
 
Back
Top Bottom