Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,791
- 218,420
- Thread starter
- #41
Unataka kuyamaliza Mazombie ? Kuna mbunge mmoja juzi alitangaza kusoma albadri , taarifa zinadokeza kwamba serikali imempigia magoti ! Zipo tetesi kwamba watendao uhalifu zanzibar hawaguswi bali jumba bovu huangushiwa wapemba .Hivi nawe ukienda kufanya uhalifu ukijua kuwa unafanya hivy makusudi kabisa kwa malengo unayoyajua, unastahili haki kagan za binadamu?
China unakula risasi kwanza ili liwe fundisho kwa wengine.
Msangi is right!!