Zanzibar hali mbaya, polisi wadaiwa kuzuia mawakili kuwatetea watuhumiwa!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,495
215,349
CHAMA cha Mawakili Zanzibar ( ZLS ) Kimesema Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar ( DDCI ) , Salum Msangi amevunja sheria za nchi kwa kuwatishia kuwaunganisha na wahalifu wanaofanya vitendo vya hujuma mawakili wote watakaowatetea watuhumiwa hao.

Tamko hilo limetolewa na Rais wa ZLS Omar said Shaban alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Mombasa , mkoa wa mjini Magharibi .

Chanzo - Nipashe

MyTake , Katika nchi zinazofuata misingi halisi ya haki za binadamu , mpaka dakika hii huyu Salum Msangi angekwisha timuliwa kazi , kukamatwa na kuburuzwa mahakamani .

IMG-20160701-WA0057.jpg
 
Sasa bila mawakili hizo kesi zitaendeshwaje..!?

Some time polisi si kila jambo ubabe tu
 
CHAMA cha Mawakili Zanzibar ( ZLS ) Kimesema Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar ( DDCI ) , Salum Msangi amevunja sheria za nchi kwa kuwatishia kuwaunganisha na wahalifu wanaofanya vitendo vya hujuma mawakili wote watakaowatetea watuhumiwa hao.
Daah kama ni hivi hali si nzuri, mtuhumiwa si ana haki ya kuwa na wakili?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom