Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,090
- 13,783
Basi wanunue madebe mengiiiZa safari ya kwanda kuny£# debe alaf ckuiz hakun cha wakili wala nn
Basi wanunue madebe mengiiiZa safari ya kwanda kuny£# debe alaf ckuiz hakun cha wakili wala nn
Kuna kitu ambacho polisi wamejisahaulisha , Mahita baada ya kustaafu u IGP alikutwa na hatia mahakama ya kisutu ya kumtelekeza house girl wake aliyempachika mimba na kuruka matunzo ya mtoto , nani ameisahau kesi hii ?Daah kama ni hivi hali si nzuri, mtuhumiwa si ana haki ya kuwa na wakili?
Nadhani Kuna mambo mengine ambayo si Ya Lazima Askari wanayalazimisha yatokee tu
UDemokrasia inapita katika kipindi kigumu sana
Umeona eee ngangamia ndo huyoo anaisjilia kwenye tundu la cndanoDemokrasia inapita katika kipindi kigumu sana
Jaji Mkuu wakati anawaapisha mawakili amewaomba wawasadie watu wenye uhitaji wa msaada wa kisheria, huyu anasema watakamatwa na kuunganishwa hapa ndipo nnaposhindwa kuelewa hizi kauli, lakini na mawakili nao inakuwaje mpaka wakubali kuunganishwa na wateja wao?Kuna kitu ambacho polisi wamejisahaulisha , Mahita baada ya kustaafu u IGP alikutwa na hatia mahakama ya kisutu ya kumtelekeza house girl wake aliyempachika mimba na kuruka matunzo ya mtoto , nani ameisahau kesi hii ?
Labda amesahau pia Mhe. Mahita pia alitumia wakili na kwenye hizo kesi Serikali pia inakuwa na mawakili nadhani tatizo liko kwenye ushaidi, ushaidi wao ni dhaifu na ndio maana anawaopgopa mawakili na kuamua kutumia vitishoKuna kitu ambacho polisi wamejisahaulisha , Mahita baada ya kustaafu u IGP alikutwa na hatia mahakama ya kisutu ya kumtelekeza house girl wake aliyempachika mimba na kuruka matunzo ya mtoto , nani ameisahau kesi hii ?
Haya ni ya huyu mjinga tupe na ya Msangi ili tuyapime ndicho alichomaanisha?
Wanaiga kutoka makao makuu ya Mkoloni.
Yaelekea hana weledi wowote ila sasa anatafuta MBUZI WA KAFARA (scapegoat)
Unapoandika mjinga una maana gani ? Umepewa source lakini bado unaamua kutukana ! Hivi unayajua matusi kushinda mimi ninayeishi Tandika Mwembeyanga ?Haya ni ya huyu mjinga tupe na ya Msangi ili tuyapime ndicho alichomaanisha?
Hivi nawe ukienda kufanya uhalifu ukijua kuwa unafanya hivy makusudi kabisa kwa malengo unayoyajua, unastahili haki kagan za binadamu?CHAMA cha Mawakili Zanzibar ( ZLS ) Kimesema Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar ( DDCI ) , Salum Msangi amevunja sheria za nchi kwa kuwatishia kuwaunganisha na wahalifu wanaofanya vitendo vya hujuma mawakili wote watakaowatetea watuhumiwa hao.
Tamko hilo limetolewa na Rais wa ZLS Omar said Shaban alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Mombasa , mkoa wa mjini Magharibi .
Chanzo - Nipashe
MyTake , Katika nchi zinazofuata misingi halisi ya haki za binadamu , mpaka dakika hii huyu Salum Msangi angekwisha timuliwa kazi , kukamatwa na kuburuzwa mahakamani .
Hivi nawe ukienda kufanya uhalifu ukijua kuwa unafanya hivy makusudi kabisa kwa malengo unayoyajua, unastahili haki kagan za binadamu?
China unakula risasi kwanza ili liwe fundisho kwa wengine.
Msangi is right!!
Wewe mama wa kihindi leo hujui maana ya neno mjinga? Waombe radhi wa Tandika Mwembeyanga kuwa ndio wanamatusi. Kila jamii inamatusi.Unapoandika mjinga una maana gani ? Umepewa source lakini bado unaamua kutukana ! Hivi unayajua matusi kushinda mimi ninayeishi Tandika Mwembeyanga ?
Yap tena ayoMh Maalim Seif liangalie hili kwa jicho la tatu .
Msimuonee bure, hayana tofauti na onyo/tamko liliotolewa na Mkuu wa Wizara hiyo Bungeni juzi;na kushangiliwa kwa makofi mengi kutoka kwa wabunge wa chama mbadala. Yeye ni mtekelezaji tu!Huyo aliyetoa hilo tamko la kuwatishia mawakili APIMWE AKILI!