Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,064
- 18,418
Yapo senta ya ile inji kubwa.Mkuu yako wapi hayo makao makuu?
Yapo senta ya ile inji kubwa.Mkuu yako wapi hayo makao makuu?
Ha ha ha,kazi ipiYupo, anaitwa jecha.
Hakuna nchi inayofanya hivyo labda za kidikteta inawezekana.Ni muhali tu kwamba hao waliotia kiberitibkianza cha mapato ya nchi wanapelekwa mahakamani.
Nchi nyingine, hata za dunia ya kwanza, watu kana hao wanapotezwa kimya kimya.