IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,333
Ndugu nakukumbusha tu, bado keshokutwa ni mwisho wa hizi ngonjera zenu.Hujaona udhalimu wa Awamu ya tano??? Mdude Nyangali, Nusrat Hanje, Tito Magoti, Eric Kabendera, Viongozi wa upinzani kubambikiwa makesi unaweza kusema ni nini hicho??