HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,444
- 94,737
Mwaka huu lazima watuheshimu wananchiWasije kuiba kura....watakiona cha moto
Mwaka huu lazima watuheshimu wananchiWasije kuiba kura....watakiona cha moto
Huna lolote wewe,utabaki kubwabwaja tu,ulitaka polisi wafanye nini?Tunakoelekea sio kuzuri hata kidogo na ole wao sasa wavuruge uchaguzi kwani hii ni dalili ya watu kuishiwa uvumilivu.
CC:Jiwe
Polisi wenyewe ambao hata shule ambao hata Kiingeleza hawajui wameishia darasa la saba na form four (F7) .hiyo Map reading wataiwezea wapi?mitaa huhitaji kuijua siku hizi teknolojia ipo google map tu inakuonyesha kila kitu
Makomandoo wako wangapi?wakamate watu wote.Polisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo hadi wakumbuke bibi zao waliofariki....
Kisa ni nini? Watawala wahubiri na kutenda haki ili kuwepo na amani. Amani haiji kwa kutumia mabavu.Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Mauji ya nini? Mbona mnakuwa wapumbavu?Kuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.
Nyinyi Ni wajinga wachache ndani ya Africa hii na dunia kiujumla,mpuuzi Sana wewe.
Kuna udhalimu gani gadafi amefanya zaid ya vibaraka Kama nyinyi kupandikizwa na Kisha kusapotiwa kuharibu nchi ya Libya ilikua na Kila neema.
Haya Leo huyo gadaf hayupo,vp hao kina mama,wazee,watoto na wanachi wanavyopata tabu ndani ya nchi yao kwa kutiwa ulemavu na Vita ya wenyewe kwa wenyewe.Walowatuma hawana habar wanauza silaha na kunyonya mafuta watakavyo.
Majinga Kama nyinyi yanaendelea kuishi Africa,mjinga kabisa Tena mpumbavu wewe
Wengi hawana cha kupoteza,wakiamka Leo ni heri ya Jana.Mrusha mawe ukidakwa unashambulia vyombo vya ulinzi na usalama hiyo ni kesi ya ugaidi utaozea ndani shauri yako
Pandikizi
Nawewe unaeza kwenda tu kuchukua jukumu la polisi.Toooba!!
Heko police kwa kutumia busara - msakila nisingekubali
Kwani Magufuli ameshika silaha hadi useme Maalimu amelala?Maalim amelala ndani kwake,watoto wa watu wanawarushia mawe askari wenye silaha.. Hotba zake kampeni ni shari shari,,The Hague itamhusu
Mpumbavu ni wewe malaya wa kisiasa ,unasahau mateso tuliyopata kwa miaka mitanoWapumbavu kama wewe bora mngekufa pale tokaondokana na fitna zenu na mabalaa
Hakuna vita yeyote itatokea, ila wahuni wachache kama hao waliojaribu kurusha mawe watabinywa korodani hadi wakome.Mtahangaika sana mwaka huu. Hakuna jeshi lililowahi kushinda nguvu ya umma. Misri ina jeshi kubwa na lenye nguvu kuliko letu lakini Mubaraka aliondoka. Yaani CCM mko kwenye ndoto.
Mnafikiri vifaru, mizinga na ndege za kivita vitawasaidia. Hata Magufuli ana mawazo ya kitoto kama yako. Ndio maana akapeleka vifaru Zanzibar kana kwamba Zanzibar imevamiwa na nchi nyingine!
Haya yanatokana na kutokuwepo kwa haki.Wakishafungua kila kitu kitawekwa wazi na huo inawezekana ikawa ndio mwanzo wa CIVIL WAR .... Hata kwa Gadaffi yalianzia kama hivyo lakini mwisho hata Jeshi lilishindwa