Zanzibar: Askari Polisi ajidhalilisha, apokea rushwa mbele ya Camera

Ama kweli police ni kioo cha jamii.haya mapovu ni kwamba watu wanahisi wameachwa uchi na police huyu wa kitanzania.
 
SMZ taabani haisimamii tena maadini ya nchi !! sasa hivi uongo ndio umefanywa kuwa ukweli na ukweli ndio unaonekana mbaya.... hakuna reality ya uongozi... kila kitu ni kinachoongozwa na SMZ ni haviko kwenye uhalisia wa mambo. serikali inaendelea kuturudisha nyuma kwa takriban karne nzima....
Maadini ya nchi ndiyo yepi? 'kila kitu kinachoongozwa na SMZ ni haviko.......' ndiyo Kiswahili cha wapi? Cha Zanzibar ipi? Kamwe wewe si Mzanzibari. Toa maoni yako kwa jinsi ulvyo, si kwa kujivika joho lisilo lako.
 
Maadini ya nchi ndiyo yepi? 'kila kitu kinachoongozwa na SMZ ni haviko.......' ndiyo Kiswahili cha wapi? Cha Zanzibar ipi? Kamwe wewe si Mzanzibari. Toa maoni yako kwa jinsi ulvyo, si kwa kujivika joho lisilo lako.

shida yangu hasa ilikuwa ni kuufikisha ujumbe na nshukuru ujumbe umefika. Sasa kama mimi ni mzanzibaari au si mzanzibari hio haikuwa lengo la mada hii. Ujumbe umefika muda mrefu sana.
 
Hawa ni wageni wanaofanyiwa hivi, tena polisi akitaka kumpa mkono baada ya kufanya tendo ovu
Hii ni aibu kubwa sana kwa Taifa na no wonder ndiyo maana waafrika tunadharaulika sana

Hata hivyo, afande Ali hatakiwi kuchukuliwa hatua zozote. Alichokifanya ni kufuata maagizo tu ya kuchukua hela za kubrashi viatu. Akishtakiwa anaweza kumwita mtu mwingine atoe ushahidi!

Haya ndiyo madhara ya kauli zisizo na vipimo.


Nyani Ngabu The Boss Mag3 joka kuu Mzee Mwanakijiji
 
Leo wamekula 90 yangu pale banana....taa ya breki, sticker ya nenda kwa usalama na kukanyaga zebra
 
Leo wamekula 90 yangu pale banana....taa ya breki, sticker ya nenda kwa usalama na kukanyaga zebra
bora ungekomaa mwende mahakamani tu kwa makosa hayo ungechajiwa 30,000 kwa makosa yote maana Hakimu angesema kosa moja tu gari bovu
 
Duuuu huyu ndio kazi hana tena! Dah naionea huruma familia yake.

Mimi ndiyo simuonei huruma kabisa...na hata familia yake siionei huruma...usishangae kuona au kusikia kuwa familia yake nayo huwa inatamba mitaani na kwa majirani kwa kuwa maisha yao ni mazuri, kumbe ni kwa sababu ya fedha za rushwa....
 

[HASHTAG]#ZanzibarPolice[/HASHTAG] [HASHTAG]#corruption[/HASHTAG] [HASHTAG]#Zanzibar[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG]

Although Zanzibar was a beautiful place to visit, officials were trying to take bribes from the moment we landed (like the Yellow Fever scammers in Arrivals, then the car hire scammers in the airport car-park). That may explain my frustration at the end of this video.

Although I had a valid ‘Foreigners Driving Permit’, OFFICER ALI here – of the Police Post in Mahonda – stopped us at his roadblock on the second day and demanded a $40 bribe to allow us to drive on. After a long debate, he pockets 60,000 Tanzanian Shillings (about $28) without a receipt – and still tries to shake my hand.

(For those commenting that we should not have paid, the other option was to wait there for TWO DAYS until after Eid, and then pay a court official!) The offence was not carrying my national driving license, even though I had already shown it to get the Zanzibar 'Driving Permit'.

But the money went straight into his pocket.

By Pete Taylor

i phone at its best use good stuff
 
My friend you have to understand thats Africa,next time before you visit any part of Africa make sure you are mental prepared instead of complaining like a b£££ch.
 
Umelogwa nini wewe...? Uchunguzi wa kitu gani angali tukio liko wazi...Huyo raia kwanza anatakiwa kupongezwa kwa kitendo cha ushujaa alichokifanya....
Huna haja ya kutoa maneno machafu toa maoni yako na heshimu maoni ya wenzako. Tumetofautiana upeo na exposure ya mambo. Ukiwa umejifungia kama wewe huwezi fikiri nje ya boksi, nenda nchi za watu ukitendewa siyo jifanye unarusha kama wao uone.
 
Nimejaribu kuitizama hii clip kwa umakini Mkubwa....

Nimegundua Askari wetu hakuomba Rushwa isipikuwa hawa jamaa walidhamilia kumpa pesa na kutegesha mapema ili ionekane Askari anaomba Rushwa....Sijaona sehemu yoyote akisema wampe Hiyo pesa......Askari hana kosa
Mkuu uko sahihi..hakuna mahali jamaa kaomba pesa..huyo mama ndo kamwambia huyo mzungu ampe jamaa..na jamaa hakutaja kias...na huyo mama ndo alikuwa akirekod..na hata maswali aliyomuuliza jamaa kama jina na mahali pale panaitwaje yalikuwa ya kimtego...jamaa hajaomba rushwa.
 
Mkuu uko sahihi..hakuna mahali jamaa kaomba pesa..huyo mama ndo kamwambia huyo mzungu ampe jamaa..na jamaa hakutaja kias...na huyo mama ndo alikuwa akirekod..na hata maswali aliyomuuliza jamaa kama jina na mahali pale panaitwaje yalikuwa ya kimtego...jamaa hajaomba rushwa.
Kama hakuomba rushwa kwanini kapokea? Tena alikuwa anasubiria kabisa...huyo kaomba rushwa ndio maana akawa anawapa mbinu za kuficha makosa.
 
Back
Top Bottom