Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
dah mbona unataka kuharibu mambo?hujaelewa kilichowapata watu wa voda?sisi tunatumia pdproxy/cproxy free
dah mbona unataka kuharibu mambo?hujaelewa kilichowapata watu wa voda?sisi tunatumia pdproxy/cproxy free
wakuu,hii unlimited yao ya siku 3 kwa buku 5 nimeijaribu kusema kweli nimeipenda.Hawana limitation ya speed ndani ya hizo siku 3,mpaka sasa nimeisha download zaidi ya GB 4 na bado ninaendelea kutesa.BIG UP ZANTEL
Mkuu acheni kusema sana hii kitu. Humu jamvini active members nadhani wote wameshajua. Hii kitu ikipigwa pini tutaonana kwa kubeep humu jamvini, si wote wenye uwezo wa kununua bundles frequently.
Big up zantel almanusura niitupe modem yao nikimbilie airtel kumbe jamaa walikuwa wanavutia wateja wameondoa ile bundle ya 2500 kwa 400mb nyambaff zao eti wana bundle 25mb kwa 1500 so ili upate mb 400 inabid ulipie 24000 huu si u***s**ng/e huu!!
Big up zantel almanusura niitupe modem yao nikimbilie airtel kumbe jamaa walikuwa wanavutia wateja wameondoa ile bundle ya 2500 kwa 400mb nyambaff zao eti wana bundle 25mb kwa 1500 so ili upate mb 400 inabid ulipie 24000 huu si u***s**ng/e huu!!
hivi zantel wana 3g dom na moshi? wa huko nipeni taarifa
Kwani hizo modem za zantel sasa hivi zinauzwa bei gani wakuu?
chief-mkwawa25,000
chief-mkwawa
Mkuu hivi ni kweli siwezi kupata hii offer ya unlimited kwa siku tatu kwa kutumia zile modem zao za zamani (huawei ec168c ev-do).., sababu nimewapigia simu baada ya kushindwa kupata hii offer wakasema nahitaji modem mpya ya 3g (je siwezi kutumia line yangu ya zantel) na modem yangu ya kuchakachua (voda) kwa connection manager ya join air ili nipate hii unlimited..
In short sitaki kuingia kwenye gharama ya kununua modem nyingine ya hawa jamaa alafu kesho wafute hii offer modem ibakie kuwa pambo
How to subscribe to bundles:
1. To subscribe by mobile phone using a Zantel line call *149*07#
2. To subscribe by mobile phone for non-zantel line holders send modem number (space) plan (space) bundle to 0776300300
chief-mkwawaKaka kusema la haki mimi sjawahi kutumia hio offer na huyo alokwambia hio modem haina 3g si kweli maana EV-DO ni 3g kama unavosema HDSPA na kama offer ni ya 3g wewe pia unatakiwa ufaidi
Mimi nimenunua modem yao kama mwezi ulopita still ni hizo hizo za EVDO hata ukinunua mpya ustegemee kupata changes sanasana utakua nazo mbili.
chief-mkwawa
Mkuu wewe hii modem yako mpya ina sehemu ya kuwekea line.., yangu ni ile ya zamani hazina line ila baada ya kushindwa kujaza na kuchagua hicho kifurushi kwenye simu nikapiga simu customer service, wakaniambia kwamba modem zenye namba 0775 offer hii haifanyi kazi mpaka modem mpya (sasa sijui kama ni kweli sababu hawa customer services sometimes wanatoa jibu bila kujua wanachosema)
Anyway wewe kujaza salio unatumia procedure zipi (sababu mimi packages zote naweza kupata kwa kutumia hii modem yangu lakini sio hii ya unlimited siku tatu)
chief-mkwawaAnhaa hapo mekuelewa sasa nafkiri ukienda zantel.com utarecharge pale ipo option ya kurecharge ni bure
Kitu 2500 kwa 400mb.Huko kwenu kwa wenye pesa tu.Hamia airtel
chief-mkwawa
Hapana mkuu issue ni kupata hii huduma ya unlimited kwa siku tatu.., kujaza naweza (kwa vifurushi vingine najaza kwenye modem kwa kupiga 104 kwenye pc kwenye connection manager.., ila issue ni kwamba pesa ikishaingia tayari jinsi ya kuwa activated na hii unlimited ya siku tatu ndio issue (ambapo according to customer services, modem zenye namba 07750 hazikubali mpaka hizi modem za kisasa) kitu ambacho kinanifanya kudhani kwamba hawa watu wanataka kutunganganiza kununua modem mpya 🙁 kwani wewe una-activate vipi hii package na modem yako namba za mwanzo ni zipi ?
mimi mbona nikituma INTRENET kwenda 15444 Meseji inafeli jamaaani msaada plz
chief-mkwawa
Hapana mkuu issue ni kupata hii huduma ya unlimited kwa siku tatu.., kujaza naweza (kwa vifurushi vingine najaza kwenye modem kwa kupiga 104 kwenye pc kwenye connection manager.., ila issue ni kwamba pesa ikishaingia tayari jinsi ya kuwa activated na hii unlimited ya siku tatu ndio issue (ambapo according to customer services, modem zenye namba 07750 hazikubali mpaka hizi modem za kisasa) kitu ambacho kinanifanya kudhani kwamba hawa watu wanataka kutunganganiza kununua modem mpya 🙁 kwani wewe una-activate vipi hii package na modem yako namba za mwanzo ni zipi ?