Awali uliongelea kuhusu information ambazo ni authentic na mimi msisitizo wangu ni kwamba nataka kujua source ya information uloweka ni ipi?
Its worthy noting kwamba kinachoandikwa hapa kinaweza kuwachoma watu i.e assume mtu amemeza FDD 1800 ndo inatumiwaa na zantel then anaenda nunua modem kama
Huawei E3372H-607 ambazo zinauzwa na TTCL kwa sasa,then anakuja ku realise wanatumia fdd 800Mhz hii itakua imem cost mtu kuingia gharama ya kununua modem nyingine!
Angalia hizi picha hapa chini basi ni majibu kutoka Smile then naomba comment yako!
Na majibu yake haya hapa!
ntapata Modem isiyokua na Band 20 then ntaingiza hiyo line ya zantel pia kuhakikisha watu hawapesi information za uongo!