yani ni sawa na halotel iwe H ikiwa H+ voda labda waweke 7GIla 4g ya voda ni danganya toto.
Zantel 4g ni yakitambo sema Wali launch kwanza zanzibar.
Yani Halotel wakiweka tu 4g na hivi vifurushi vyao vikibaki kama vilivyo ndio basi tena... Maana kwa sasa line zote za 4g ninazo Voda, Tigo, Ttcl lakini na endelea kurudi tu halotel bila kupenda
Nipo Mwanza hapa hovo kabisa hawa jamaa wa voda.
Hata Dar bado inazingua sana
Upuuzi mtupu, 3G tu imewashinda hiyo 4G si ndo itakuwa kituko, hivi unaweza amini kwamba Kibamba hakuna 3G ya Zantel? na hapa ni Dsm vipi kule kwingine kutakuaje...!!!?Mikoa yote ambayo tigo wana 4G zantel nayo wanayo....
Zantel itasambaa kwa kasi kuazia august...
Band wanayotumia kwa sasa ni 800 watakuja na 900..
SITAKI MASWALI SUBIRINI MATOKEA
Povu la nini tulia kijana....Upuuzi mtupu, 3G tu imewashinda hiyo 4G si ndo itakuwa kituko, hivi unaweza amini kwamba Kibamba hakuna 3G ya Zantel? na hapa ni Dsm vipi kule kwingine kutakuaje...!!!?
Muda!!!!??? NONSENSE....kama ni swala la muda basi elewa juzi, jana na leo hakuna 3G Zantel Dsm 4G itawezekana vipi kesho?Povu la nini tulia kijana....
Weka akiba ya maneno muda ndio master wa kila kitu.
Halotel n mwisho wa matatizo.Zantel 4g ni yakitambo sema Wali launch kwanza zanzibar.
Yani Halotel wakiweka tu 4g na hivi vifurushi vyao vikibaki kama vilivyo ndio basi tena... Maana kwa sasa line zote za 4g ninazo Voda, Tigo, Ttcl lakini na endelea kurudi tu halotel bila kupenda
Halotel wana speed kwa vile Hawana wateja sana wakiwajaza speed itapunguaHalotel wakileta 4g itakua balaa.
ni lini voda au tigo au airtel walipokuwa na wateja wachache speed yao ikawa kama ya halotel?Halotel wana speed kwa vile Hawana wateja sana wakiwajaza speed itapungua
Acha kukariri mkuuHalotel wana speed kwa vile Hawana wateja sana wakiwajaza speed itapungua
Msamehe tu ndo anachokijua hichoAcha kukariri mkuu
Duh1G ya halotel ni 6G ya Tigo