Zana za kivita za MALAWI

Zana za kivita za MALAWI

Politics is a dangerous game. Muda si mrefu watanzania watakuwa wamoja dhidi ya wamalawi, na hapo ndipo CCM watakapopata mwanya wa kuendelea kuwepo madarakani. TUSISHANGILIE VITA DHIDI YA NCHI NYINGINE WKT NDANI TUNAVYO VIKUBWA ZAIDI!
 
images13.jpg

Huyu jamaa ni mmoja wa askari wetu!

Hapa alikuwa anazuia watu wasifanye mkutano baada ya polisi kuzuia mkutano wa chama cha upinzani kwasababu hakuna Polisi wa kutosha
 
Politics is a dangerous game. Muda si mrefu watanzania watakuwa wamoja dhidi ya wamalawi, na hapo ndipo CCM watakapopata mwanya wa kuendelea kuwepo madarakani. TUSISHANGILIE VITA DHIDI YA NCHI NYINGINE WKT NDANI TUNAVYO VIKUBWA ZAIDI!

I like your idea mate.
 
Kupigana ni kazi maana mpaka leo madhara ya Uganda kwetu hajaisha naona ni bora kuafikiana kuliko kupigana na hata kama mali zote za Afrika zikawa zetu kwa viongozi tulionao hatutakaa tuendelee zaidi ya kuomba msaada wa neti na msaada wa kilimo toka kwa wafaidhili (wanaotuibia rasilimali zetu kwa mikataba ya akina Carlipeter na viongozi wetu wa kileo na safari za kufuata msaada). Mimi naona ufumbuzi kwa njia ya mazungumzo ni bora kuliko kwenda kuua wanajeshi wetu na kuua wananchi wakati hata rasilimali itakayopatikana hafaidiki nayo. Ni bora walau waendelee na shida zao kuliko kuwampatia vilema huku maisha magumu na hata wakipigana hakuna wakuwapa fidia kwa madhara watakayoyapata mfano Wazee wa Vita vya I vya dunia na wale wazee wa Afrika mashariki, watu wa Gongo la mboto na mifano kibao.
Bora mazungumzo kuliko kutajirisha watu kupitia vifo vya wengine na huku wanyonge wakiendele kutaabika na wenye mamlaka kujineemesha
 
Hawa Malawi siyo bure kuna msukumo wa mataifa ya nje,hata kupigana nao tutakuwa tunapigana na mataifa mengine ya nje,hizi ni mbinu wanazotumia mabwanyenye kudhoofisha mataifa tajiri masikini ili yaweze kuchukua mali kirahisi,Tanzania tuna gesi ya kutosha,dhahabu ya kumwaga,bado uranium,shaba makaa ya mawe na mafuta na tuko salama hauoni ajabu?fikiria kilichotokea Somalia na mafuta yao,Sudani,Nigeria,Angola,jirani zetu DRC na uifikirie TZ ni mungu tu anaweka mkono wake ila hili la Malawi ni lazima tuliangalie kwa jicho pevu vinginevyo tumekwisha,na serikali yetu hii isiyoeleweka tunaweza kujitumbukiza katika shida kubwa ambayo inaweza kuchukua zaidi ya miaka 50 bila majibu tukabaki ambaomba wa misaada ya kijeshi huku wakichukua rasilimali zetu kwa kubadilisha na silaha.
 
DSC_0296.JPG
na hawa ni jwtz wakicheza kiduku uwanja wa taifa....... majuzi nilikutana na gen mwamunyange aisee yaani ukitaka kumfanyia lolote its very easy......
kumfanya lolote kama nini? ulitaka awe na ulinzi mkali kama wa baba mtakatifu(papa) ndo ujue huwezi mfanya lolote???
 
Hawa ni askari wa Malawi wakifanya mazoezi kwenye mwambao wa ziwa Nyasa.
Hizi bunduki zao mi naziona kama zile amabazo polisi wetu wanalindia mabenki.
527093_432953680081367_2086151748_n.jpg
Hizi kama Shortgun eeeh! Sa hizi ni kali kuliko zile za kurushia mabomu ya machozi!Nielewesheni wadau...
 
Kea malawi hatuhitaji JW bali jeshi la Zimamoto ukiongeza na FFU wa Tabora wanatosha wakiongozwa na Kamanda TOSI
 
ungejaribu kumfanyia lolote! Alafu ungeona awakina rama wa ikulu wanapotokea, hapo hapo ungeshafikishwa mabwepande! Never play with these people kaka! Mbona ukiiangalia nchi yetu kama vile ni rahisi kuguswa na magaidi lakini ndo nchi ya africa miongoni mwa zile zinazoongoza kwa kupamana na ugaidi!

Wanajeshi wa TANZANIA noma, we kumbuka JK alivyo mkwida mchawi aliye kuwa anamunyemelea wakati akitoa HOTUBA, swali ni je, JK alijuwaje kwamba kuna mtu nyuma yake!! Ndio ukomadoo wenyewe huo unahisi tu bila ya kugehuka kuangalia nyuma, mchawi wa watu akijikuta umepigwa Tanganyika Jack na JK-sikumbuki kama JK aligehuka kumwangalia mchawi na zana zake - we acha tu!
 
Jamani kuna watu humu nchini wanataka vita ili wao wanufaike na kuiuzia serikali silaha. Usifanye mchezo na wanasiasa
 
Wa kuzuia mandamano ya[dmQUOTE=WA-UKENYENGE;4398383]
images13.jpg

Huyu jamaa ni mmoja wa askari wetu![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom