Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
na hawa ni jwtz wakicheza kiduku uwanja wa taifa.......
Majeshi ya nchi zingine sasa yako na yanafikiri katika unmanned missions,hapa jeshi bado lina mawazo ya ukamando kipensi!
na hawa ni jwtz wakicheza kiduku uwanja wa taifa.......
Kabla vita havijaanza mi nashauri maraisi wetu wakapigane ngumi, atakaye pigwa basi ihesabike nchi yake imeshindwa.
Vita ni gharama kubwa sana na havina macho.
na hawa ni jwtz wakicheza kiduku uwanja wa taifa.......
Majuzi nilikutana na gen mwamunyange aisee yaani ukitaka kumfanyia lolote its very easy......
lakini ndo nchi ya Africa miongoni mwa zile zinazoongoza kwa kupambana na ugaidi!
Kupambana na ugaidi?! Ugaidi upi? Wa madai ya wafanyakazi? 'uchochezi' wa vyama vya upinzani na magazeti kama Mwanahalisi?
Acha uongo hii picha ni yazamani ni askari wa Tanzania walipokuwa wanaingia Comoro!!Mkuu nawewe ni mpotoshaji pia????Dah kweli..naanza kutowaamini watu niliokuwa nawaamini!!Hawa ni askari wa Malawi wakifanya mazoezi kwenye mwambao wa ziwa Nyasa.
Hizi bunduki zao mi naziona kama zile amabazo polisi wetu wanalindia mabenki.
na hawa ni jwtz wakicheza kiduku uwanja wa taifa.......
majuzi nilikutana na gen mwamunyange aisee yaani ukitaka kumfanyia lolote its very easy......
siwezi kujua atafanyiowa vipi lajkini nakuambia ni veryy eaaaaasy sana arifu......nakutana nae sana huyu jamaa tena kweupeee peee na bodgadi wake eaaasy eaasy.....subiri yakitokea iunhdwe tume......ungejaribu kumfanyia lolote! Alafu ungeona awakina rama wa ikulu wanapotokea, hapo hapo ungeshafikishwa mabwepande! Never play with these people kaka! Mbona ukiiangalia nchi yetu kama vile ni rahisi kuguswa na magaidi lakini ndo nchi ya africa miongoni mwa zile zinazoongoza kwa kupamana na ugaidi!
wewe unajua sijui?? haya sijui......Acha dharau mkuu,kitu kama hujui afadhali unyamaze.
wewe unajua sijui?? haya sijui......
Acha uongo hii picha ni yazamani ni askari wa Tanzania walipokuwa wanaingia Comoro!!Mkuu nawewe ni mpotoshaji pia????Dah kweli..naanza kutowaamini watu niliokuwa nawaamini!!
na hawa ni jwtz wakicheza kiduku uwanja wa taifa.......
majuzi nilikutana na gen mwamunyange aisee yaani ukitaka kumfanyia lolote its very easy......
Basi tuwekee picha za askari wa Tanzania wenye viatu sori upande na viraka matakoni. Maandalizi nayo muhimu tuyaone. Nadhani wakiingia vitani Malawi kazi yao ya kwanza itakuwa kuiba mali za raia maana kama wanashiriki ujambazi huko itakuwaje? Pia wanajeshi wetu wanafaa sana kuwa makada wa CCM. Hivyo ukiwatuma vitani wengi watauawa kama panzi. Tofautisha jeshi la wakati wa Mwalimu Nyerere na jeshi la sasa la kishikaji. Mfano mdogo muangalie mkuu wa majeshi yenu alivyo laini. Hana sura ya Kikurya ya kutisha wala mwili mkubwa wa kutisha wala sifa zaidi ya kuibuka tu. Sidhani kama Mwamunyange na Shimbo wanafanya mazoezi zaidi ya kupiga siasa. Nakumbuka walitangaza vita wakati wa kampeni za uchaguzi kuwatisha wapiga kura. Sasa Malawi imewasha moto nenda tuwaone ujanja au ujuha wenu. Wanajua kutumiwa kuiba kura na kuwatishia wazanzibari wanapoamua kulianzisha. Vita si mchezo msifanye mzaha.
Uchokozi sio jadi yangu mie ni kijana mwema mwenye adaby na staha kwa watu wote......kama kuheshimu kazi za watu ni mpaka umchokoze aisee arifu sipo huko....Nakushauri siku moja uchokoze "mcheza kiduku"mmoja ili akuchezee vizuri.Kila la kheri