Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

julaibibi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
3,387
Reaction score
4,662
Mchina huko anafanya zoezi la kuzi train drone kwa algorithm ya kuua mbu kwa kuzichapa laser beam. Hii kwa jicho la tatu ni message kama tu ameshaweza kuya train ma chip ya AI ndani ya drone kuchapa makombora mbu kama mbu vipi kwa object kubwa kama binadamu na wengine. Message hio kwamba vita vikija yale mapicha picha ya terminator ndio yanakuja kuwa kweli. Angeweza kama ishu ni kuua mbu kuzuia malaria akafanya tu kimya ila katangaza dunia nzima,lakini ndio ujumbe huo kama drone inaweza kuchapa kombora Mbu bas wengine kaeni mkao wa kunyolewa

View: https://x.com/i/status/2086168055395287135
 
Kitu kinacho nifurahisha kuhusu mtu mweusi ni kuwa huwa anaongopa sana teknnolojia hata akiona kitu kipya lazima ashike mikono kichwani na kusema "ZAMA ZA MWISHO HIZI"😁

ila mwambie achanganye utumbo wa samaki na makoro koro mengine kama zindiko la kupata pesa uone anavyochangamka😁
 
Kitu kinacho nifurahisha kuhusu mtu mweusi ni kuwa huwa anaongopa sana teknnolojia hata akiona kitu kipaya lazima ashike mikono kichwani na kusema "ZAMA ZA MWISHO HIZI"😁

ila mwambie achanganye utumbo wa samaki na makoro koro mengine kama zindiko la kupata pesa uone anavyochangamka😁
Waogope sana watu wenye macho madogo. Siku mkaja kujichanganya wakaanzisha vita ndio itakua mwisho wa dunia. Dhulkarny au wengine wanamuita Alexander the great au Cyrus the great alikua ni mfalme mwenye hofu ya mungu aliyesafiri mpaka pembe ya dunia akakuta watu wenye kuongea lugha isiyofahamika. Akawajengea ukuta kuwalinda dhidi ya jamii ya watu ambao walikua wanafanya uharibifu kwenye dunia.wale jamaa walizungushiwa ukuta wa chuma kilichoyayushwa na kuchanganywa na silver au alloy. Wanaugogona ukuta ule siku wakiutoboa wakatoka hawachagui wanakula kila kilicho mbele yao.
 
Kitu kinacho nifurahisha kuhusu mtu mweusi ni kuwa huwa anaongopa sana teknnolojia hata akiona kitu kipaya lazima ashike mikono kichwani na kusema "ZAMA ZA MWISHO HIZI"😁

ila mwambie achanganye utumbo wa samaki na makoro koro mengine kama zindiko la kupata pesa uone anavyochangamka😁
Kwazile GPS Drones tulizoona jana kwenye Tamasha la Simba.

Soon hapa TZ Utaagiza kitu Online. Na kama mzigo sio mzito. Bas GPS Drones inakuletea hadi kwako.

Hizi kuagiza Chakula au devices ndogo ndogo kama simu nk . Zile drones zinasertiwa tu , zinafika sehem kuchukua Mzigo. Na Zinampelekea mteja hadi mlangoni. Na kurudi zenyewe ofisini.

Ni kama ilivyo Duka Direct au Piki Foods.

Lakin hii ni kwa sisi tunaokaa Masaki na osterbay.🤗🤗🤗🤗
 
Waogope sana watu wenye macho madogo. Siku mkaja kujichanganya wakaanzisha vita ndio itakua mwisho wa dunia. Dhulkarny au wengine wanamuita Alexander the great au Cyrus the great alikua ni mfalme mwenye hofu ya mungu aliyesafiri mpaka pembe ya dunia akakuta watu wenye kuongea lugha isiyofahamika. Akawajengea ukuta kuwalinda dhidi ya jamii ya watu ambao walikua wanafanya uharibifu kwenye dunia.wale jamaa walizungushiwa ukuta wa chuma kilichoyayushwa na kuchanganywa na silver au alloy. Wanaugogona ukuta ule siku wakiutoboa wakatoka hawachagui wanakula kila kilicho mbele yao.
Duh mbona kama movie, hivi pembe ya dunia ndio huwa wapi? Inamaana hao watu walikuwa wanakula watu na wanyama wa aina yoyote ile🙆🏽‍♀️
 
Kwazile GPS Drones tulizoona jana kwenye Tamasha la Simba.

Soon hapa TZ Utaagiza kitu Online. Na kama mzigo sio mzito. Bas GPS Drones inakuletea hadi kwako.

Hizi kuagiza Chakula au devices ndogo ndogo kama simu nk . Zile drones zinasertiwa tu , zinafika sehem kuchukua Mzigo. Na Zinampelekea mteja hadi mlangoni. Na kurudi zenyewe ofisini.

Ni kama ilivyo Duka Direct au Piki Foods.

Lakin hii ni kwa sisi tunaokaa Masaki na osterbay.🤗🤗🤗🤗
Hebu nione picha yake!
 
Hebu nione picha yake!
Ni drones za kawaida.
Sema zinaungishwa na system via internet na kusertiwa kufuata Geo location.
Kwahiyo zikifika sehem husika zinatulia au kufanya kitu kilichokusudiwa.

Mfano zile Drones za jana ni system imeziset kuwa kwa dk hii ikae position gan na ifanye nini (kuwasha taa au kuizima nk)
Kwahiyo system inawasha Drones hata 200 na system inaipanga kila drones ikae position gan na ifanye nini na kwa muda gan.
Ndio maana zinakaa kwa mpangilio na kufanya 3D images.

Zile sio kwamba watu walikuwa wanaziendesha kwa muda ule.
Ni system imeshaziset. Zenyewe zinafuata maelekezo. Na system inahakikisha Location haijirudii ili zisigongane na zikibadili position . Bas system ina set route mpya na kuhakikisha hazigongani.
 
Duh mbona kama movie, hivi pembe ya dunia ndio huwa wapi? Inamaana hao watu walikuwa wanakula watu na wanyama wa aina yoyote ile🙆🏽‍♀️
Nenda ukasome kisa cha gog na magog. Au yaajul na majuj. Kwaza wanasema ni watu wenye vimo sawa,waharibifu wakorofi na wamezungushiwa ukuta mrefu sana ambao wanafanya kazi ya kuutoboa kila siku ikifika jion wanapumzika.siku watayotoka ndio itakua kizaa zaa. Wanakula kila kilicho mbele yao.ukuta chuma mti mtu twende. Pembe ya dunia kule linapozama jua kwan unashangaa unafikir unayajua maeneo yote dunian? Au unaamin mabara yapo saba kama ulivyofundishwa? Kuna maeneo hapa hapa duniani yapo binadamu hajayakanyaga. Sikwambii dimensional reality ambazo macho yenu ya kibinadamu hayaoni.ila kama una ujuzi unaweza kuingia kwenye maeneo hayo ya viumbe wengine
 
Nenda ukasome kisa cha gog na magog. Au yaajul na majuj. Kwaza wanasema ni watu wenye vimo sawa,waharibifu wakorofi na wamezungushiwa ukuta mrefu sana ambao wanafanya kazi ya kuutoboa kila siku ikifika jion wanapumzika.siku watayotoka ndio itakua kizaa zaa. Wanakula kila kilicho mbele yao.ukuta chuma mti mtu twende. Pembe ya dunia kule linapozama jua kwan unashangaa unafikir unayajua maeneo yote dunian? Au unaamin mabara yapo saba kama ulivyofundishwa? Kuna maeneo hapa hapa duniani yapo binadamu hajayakanyaga. Sikwambii dimensional reality ambazo macho yenu ya kibinadamu hayaoni.ila kama una ujuzi unaweza kuingia kwenye maeneo hayo ya viumbe wengine
Huo ukuta uko wapi tupatie na picha tuone
 
Nenda ukasome kisa cha gog na magog. Au yaajul na majuj. Kwaza wanasema ni watu wenye vimo sawa,waharibifu wakorofi na wamezungushiwa ukuta mrefu sana ambao wanafanya kazi ya kuutoboa kila siku ikifika jion wanapumzika.siku watayotoka ndio itakua kizaa zaa. Wanakula kila kilicho mbele yao.ukuta chuma mti mtu twende. Pembe ya dunia kule linapozama jua kwan unashangaa unafikir unayajua maeneo yote dunian? Au unaamin mabara yapo saba kama ulivyofundishwa? Kuna maeneo hapa hapa duniani yapo binadamu hajayakanyaga. Sikwambii dimensional reality ambazo macho yenu ya kibinadamu hayaoni.ila kama una ujuzi unaweza kuingia kwenye maeneo hayo ya viumbe wengine
Duh! Sawa umeeleweka! Pia kuna movie nimewahi kuiona related na hii scenario.
 
Kitu kinacho nifurahisha kuhusu mtu mweusi ni kuwa huwa anaongopa sana teknnolojia hata akiona kitu kipya lazima ashike mikono kichwani na kusema "ZAMA ZA MWISHO HIZI"😁

ila mwambie achanganye utumbo wa samaki na makoro koro mengine kama zindiko la kupata pesa uone anavyochangamka😁
We mzee 😀😀
 

Huu ni ujinga tu madam achana na wajinga. Teknolojia ipo kwaajili ya kuboresha maisha, japo kuna madhara yake lakini kitu kinaitwa mwisho wa Dunia ni fiction tu za watu.

Mamillion ya miaka binadamu tume-evolve hadi sasa tupo ulimwengu wa binary na computation of data. Tumeshatoka kwenye vifaa na zana sasa tupo kwenye era ya digital information. Utajiri wa sasa ni data, na ndio kitu pekee kila kukicha kinashangaza Dunia.

Nimetoka kidogo nje ya mada, lakini point yangu ni we will always evolve hamna mwisho wa binadamu kuwa curious tukitoka duniani tunaenda kwenye space kuanzisha makazi itafika mahali tutachoka kuwepo kwenye hii Dunia. The importance and number 1 asset of human is intelligence it's the core of everything you see.
 
Huu ni ujinga tu madam achana na wajinga. Teknolojia ipo kwaajili ya kuboresha maisha, japo kuna madhara yake lakini kitu kinaitwa mwisho wa Dunia ni fiction tu za watu.

Mamillion ya miaka binadamu tume-evolve hadi sasa tupo ulimwengu wa binary na computation of data. Tumeshatoka kwenye vifaa na zana sasa tupo kwenye era ya digital information. Utajiri wa sasa ni data, na ndio kitu pekee kila kukicha kinashangaza Dunia.

Nimetoka kidogo nje ya mada, lakini point yangu ni we will always evolve hamna mwisho wa binadamu kuwa curious tukitoka duniani tunaenda kwenye space kuanzisha makazi itafika mahali tutachoka kuwepo kwenye hii Dunia. The importance and number 1 asset of human is intelligence it's the core of everything you see.
Exactly!

Haya nimeachana nao, nitag ule uzi wa spiritual awakening kwanza, nina jambo langu.
 
Back
Top Bottom