Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Baada ya kubadilisha jina kutoka Celtel kwenda Zain mwaka 2008, kampuni ya Zain inatarajiwa kuanza rasmi kutumia jina jingine jipya la Airtel kuanzia tarehe 22 November 2010 (jumatatu ijayo). Hii ni baada ya mmiliki wa Zain Afrika kuuza hisa zake kwa kampuni Airtel ya India.
Jina hilo litakalokuwa katika muonekano huu hapa chini, litakuwa na rangi nyekundu ambayo inafanana na rangi ya jina walilokuwa wanatumia hapo mwanzo la Celtel kabla hawajabadili na kuwa Zain.
Changamoto waliyonayo Airtel/Zain ni namna watakavyoweza ku manage perception ya wateja wao ambao asilimia kubwa hawana ujuzi wa masoko ya fedha na namna biashara za makampuni zinavyoendeshwa.
Karibu airtel, tunatarajia mapinduzi zaidi katika soko la mawasiliano. Binafsi ningependa makampuni ya simu yawekeze sana katika ubora wa mawasiliano. Kwa ilivyo sasa kampuni kama tiGo licha ya kuwa na bei nafuu lakini ubora wa network yao uko chini sana. With tiGo, drop calls ni nyingi sana mpaka zinaudhi!!
Jina hilo litakalokuwa katika muonekano huu hapa chini, litakuwa na rangi nyekundu ambayo inafanana na rangi ya jina walilokuwa wanatumia hapo mwanzo la Celtel kabla hawajabadili na kuwa Zain.
Changamoto waliyonayo Airtel/Zain ni namna watakavyoweza ku manage perception ya wateja wao ambao asilimia kubwa hawana ujuzi wa masoko ya fedha na namna biashara za makampuni zinavyoendeshwa.
Karibu airtel, tunatarajia mapinduzi zaidi katika soko la mawasiliano. Binafsi ningependa makampuni ya simu yawekeze sana katika ubora wa mawasiliano. Kwa ilivyo sasa kampuni kama tiGo licha ya kuwa na bei nafuu lakini ubora wa network yao uko chini sana. With tiGo, drop calls ni nyingi sana mpaka zinaudhi!!