Zaidi ya wanafunzi 15,000 wakosa mikopo ya elimu ya juu!

ila ilo jambo walikwisha sema mapema zaidi as kiwango cha kuwadhamini wanafunzi wa elimu ya juu kitapungua siku baada ya siku serekali haina hela
 
hizo program ni moja u kazi ya vigzo vya kupta mkoo, kuna vigezo vingine pia kama hali ya uchumi ya mombaji xo haimaanishi kua kama hujasoja priority corses bas haupati mkopo, swala hilo hakunahebu jaribuni kuwaelewa bodi
 
Unasikia wapi? Toa story zako za vijiwe vya kahawa hapa.
Taratibu Mkuu, hujasoma vizuri comment yangu! Kwa kifupi sifurahii utendaji wa TCU, wala kuona vijana wenye Division I wakikosa nafasi za kujiunga wakati huo huo kuna wanafunzi wengine wenye Division III wanapata mkopo. Wakati huo huo kuna baadhi ya kozi UDSM hazina wanafunzi (hawajatimia idadi) Na mwisho kabisa, sifurahii kupigwa pigwa mizinga na madogo, kisa bodi ya mikopo haijafanya vile inavyotakiwa.
 
Kweli ukipangwa ud raha sana,yani ckuaply mkopo na vile vile nimepangwa program yenye non priority,bt kwa taarifa 2 ni kwamba nina 80% yangu iliyotulia..names za wote waliopata loans ztatolewa anytym from leo.
 
Kweli ukipangwa ud raha sana,yani ckuaply mkopo na vile vile nimepangwa program yenye non priority,bt kwa taarifa 2 ni kwamba nina 80% yangu iliyotulia..names za wote waliopata loans ztatolewa anytym from leo.

Sijui uongo wako unakusaidia nini me nakushangaa sana mtoto wa kiume muongo kama nini sijui, rubbish
 
hahaha kawaida sana karibuni chuo bhana mkumbuke kuna sap na disco
 
Nashukuru Mungu nimemaliza mwaka huu ila wanafunzi wengi wanaoendelea niliwaambia wategemee vurugu sn mwaka huu wa masomo hasa kwa first year kutokana na mambo tcu waliyoanza kuonyesha mapema mwaka huu. Tutarajie sana yafuatayo:fencing::laser::boxing::A S-cry::frusty::noidea:
 
Nashukuru Mungu nimemaliza mwaka huu ila wanafunzi wengi wanaoendelea niliwaambia wategemee vurugu sn mwaka huu wa masomo hasa kwa first year kutokana na mambo tcu waliyoanza kuonyesha mapema mwaka huu. Tutarajie sana yafuatayo:fencing::laser::boxing::A S-cry::frusty::noidea:

Ha ha ha ha hah
 
By Perry:
"...kuna wachache ambao
wanasoma RROGRAMS ZISIZO ZA KIPAUMBELE
'wamebahatika'..."

System imekosea au? maana ilishasemwa hawatopata... tuambizane.

"Taarifa rasmi" za 'chini ya kapeti'

mkuu non priority haina maana mtu hapat kabsa mkopo bal hanakipao mbele! Gat m thea...
 
hawa heslb vp! mbona nilisikia wamepewa pesa nyingi sana kutoka serikarin, wanataka kuzipeleka wap?
 
unaonekana ni mzee wa sap wewe? Kama wewe ni kilaza usijaribu kufananisha ukilaza wako na wa watu wengine kajipange na ujitaidi usiendele kusap itakucost badae

sap haitegemei una akili au vip, yasikuchanganye mambo ya form six wewe, afu nyie wadesaji akina juma kisoma ndo hua mnafeli sana1
 
Back
Top Bottom