Zaidi ya wanafunzi 15,000 wakosa mikopo ya elimu ya juu!

daah !! Naona hao wanafunzi 1000 waliokosa mkopo pale udzm asilimia 100% ya mademu wataishia kuwa machangudoa ya jiji coz Hili life lilivyo tyt pande Hizi sijui kama watasalimika
 
Wakuu,kulingana na taarifa rasmi nlizozpata muda huu toka chanzo cha kuaminika toka heslb,ni kwamba zaidi ya raia 15000 wamepigwa chini na heslb..watu wanaosoma udaktari wa binadamu&mifugo,uhandisi,kilimo na ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati,wamelambwa 100%,wanaosoma ualimu wa masomo ya sanaa na biashara wamepewa kulingana na means testing,pia kuna wachache ambao wanasoma programs zisizo za kipaumbele wamebahatika kupata mkopo.chuo kikuu cha dar es salaam wanafunzi zaidi ya 1000 wamekosa mkopo kabisa!asanten .

Tumekwisha kama hii information ina ukweli ndani yake maana ni watu ZAIDI YA 15000 na sio exactly 15000 maana yake ni zaidi ya hapo
 
Wakuu,kulingana na taarifa rasmi nlizozpata muda huu toka chanzo cha kuaminika toka heslb,ni kwamba zaidi ya raia 15000 wamepigwa chini na heslb..watu wanaosoma udaktari wa binadamu&mifugo,uhandisi,kilimo na ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati,wamelambwa 100%,wanaosoma ualimu wa masomo ya sanaa na biashara wamepewa kulingana na means testing,pia kuna wachache ambao wanasoma programs zisizo za kipaumbele wamebahatika kupata mkopo.chuo kikuu cha dar es salaam wanafunzi zaidi ya 1000 wamekosa mkopo kabisa!asanten .

Asante kwa taarifa
 
mtoto wa maskn umepata kauwezo ka kuaccess net

usinambie wanao access net woooote kwao mambo safi,sidhani kama net ni sehemu ya matajiri 2 kama ww,wakuu nifumbueni macho may be mm ndo nimestake!!!
 
ndio mkome .nani aliwaambia kuipigia kura ccm

unajua hawa jamaa wa ccm ndo hawajui kabisaa,look sasa hv ndani ya jamii hawafai na popularity yao inashuka siku hadi siku so nafikiri wangetoa mikopo hili atleast vijana waanze kukumbuka fadhir baadae lkn kinyume chake ndo wanajichimbia kaburi lao,NOTE mwanafunz mmoja nyuma yake kuna baba,mama,shangaz,mjomba,ndugu na rafiki watakao chukia kitendo cha kumunyima haki ya elimu ndugu yao,hivyo 1 student 50 votes behind hivyo ukichukua no ya waliokoso 15000 zidisha 50 waliooko nyuma ya 1 stdent then total ni 750,000 votes kwa mwez mmoja wanazipoteza,ccm think about it.
 
By Perry:
"...kuna wachache ambao
wanasoma RROGRAMS ZISIZO ZA KIPAUMBELE
'wamebahatika'..."

System imekosea au? maana ilishasemwa hawatopata... tuambizane.

"Taarifa rasmi" za 'chini ya kapeti'
 
By Perry:
"...kuna wachache ambao
wanasoma RROGRAMS ZISIZO ZA KIPAUMBELE
'wamebahatika'..."

System imekosea au? maana ilishasemwa hawatopata... tuambizane.

"Taarifa rasmi" za 'chini ya kapeti'

mkuu,nan alisema programs za non priority hawapat kabisa?
 
Nasikia kuna HGL wengine wamepelekwa Mhimbili wakasomeee medicine, na kuna PCB wamepelekwa Law! Yaani Mwaka huu TCU hawana wanachokifanya zaidi ya kuongeza complication na loopholes za kuibia taifa. Ushauri wangu kwa serikali kupitia wizara husika, TCU waboreshe mfumo wa zamani ambapo mwanafunzi anaapply mwenyewe katika chuo husika, then ikitokea mwanafunzi kaapply vyuo zaidi a kimoja, TCU System should identify him/her immediately. Waache kubania hela, TCU toeni pesa watu (Msc & PhD Students can do the project) wafanye kazi za kucentralize hiyo system nchi nzima!! Hakutakuwa na shida
 
Nasikia kuna HGL wengine wamepelekwa Mhimbili wakasomeee medicine, na kuna PCB wamepelekwa Law! Yaani Mwaka huu TCU hawana wanachokifanya zaidi ya kuongeza complication na loopholes za kuibia taifa. Ushauri wangu kwa serikali kupitia wizara husika, TCU waboreshe mfumo wa zamani ambapo mwanafunzi anaapply mwenyewe katika chuo husika, then ikitokea mwanafunzi kaapply vyuo zaidi a kimoja, TCU System should identify him/her immediately. Waache kubania hela, TCU toeni pesa watu (Msc & PhD Students can do the project) wafanye kazi za kucentralize hiyo system nchi nzima!! Hakutakuwa na shida

Unasikia wapi? Toa story zako za vijiwe vya kahawa hapa.
 
Back
Top Bottom