Zaidi ya Suti: WikiLeaks yafunua mgongano kati ya JK, Kapuya na Gen. Waitara...

maswali magumu kwa watu makini..

1- kwanini waitara aliwakatalia wamarekani kuanza ACOTA bila kusaini SOFA?
2- SOFA inaonekana ni kipingamizi kikubwa ambacho wamarekani hawakukikubali kitiwe saini kwanza

3- wanasema waitara alikuwa ni pro-eastern block...kwa hiyo alikuwa ni kikwazo just by anay means NO to americans..fine..lakini hii ACOTA si ni training tuu ya kawaida...iweje waitara aonekane ni-mmashariki hawataki wamarekani?...hakuna kitu nyuma ya hii ACOTA kama hidden american agenda??
4- SOFA ina nini hasa ambacho wamarekani walikiogopa..means ingetiwa saini mapema ingewalimit kufanya mambo mengi yasiyokubalika kwa kigezo cha ACOTA...hatuwezi kupata popote pale documents za SOFA...naamini tutaona wamerikani waliogopa nini alichowashika pabaya mzee waitara.

5- inawezekana waitara alilazimishwa kustaafu/kujiuzulu?..na nani, kwanini, ili iweje akishajiuzulu, kisha awekwe nani kukamata nafasi ya CDF...yapo maswali mengi tuu sipati majibu sahihii

KUBES....TUNAKUSUBIRI UJE NA MAJIBU HAYA....

"UNITED STATES OF AFRICA..IN DOGS WE TRUST"

Mkuu na mimi nilikuwa ninajiuliza maswali kama nilivyoyawekea red. Na bila shaka uteuzi wa Gen. Davies Mwamunyange kuwa CDF ulifanyika kwa makusudi mazima ili kurahisisha utekelezaji wa huo mradi wa ACOTA.

Na hapa inaonekana wakati Kapuya na JK wanaji commit kwa balozi Retzer kwamba training itaanza August baada ya kuondoka Waitara, bila shaka Mwamunyange alishaandaliwa ku take over na assignment yake ya kwanza ofisini ni kusaini mkataba wa ACOTA.

Kwa hali kama hii tunalazimika kuwa na maswali mengi juu ya uslama wa nchi yetu, kwanini serikali yetu inakuwa ndogo kama piriton mbele ya matakwa ya wamarekani??
 
Kumbe Waitara alikuwa kichwa! Niliwai kusema vichwa tunavyo ila havipati nafasi ya kukafanya kazi.
 
tatizo ni sie raia tunaozidi kuangalia haya,sasa sijui adi mangapi yatufike ndo tujue tumeuzwa na hii serikali ya ccm!!
sijawai muamini mwamunyange na JK ni msalikiti mkubwa yupo pale kwa kitu fulani,wait n see
marekani ni ovyo kabisa kazi kuharibu nchi za watu...ama kweli hatuna watawala wazalendo
 
tuliosoma St. Kayumba na shule za kata tutaweza kweli kuchambua hizi Doc Kweli?Nimeelewa kwanini wanataka tuendelee kusomesha watoto wetu huko ili waje kushindwa kuchambua nyaraka hizi zinazowaumbua eeeh, watoto wao pekee waweze kuzisoma na kuwafichia na kuwalinda!!!!kwa hili hamtafanikiwa tena tumewashutukia banaa
 
maswali magumu kwa watu makini..

1- kwanini waitara aliwakatalia wamarekani kuanza ACOTA bila kusaini SOFA?

2- SOFA inaonekana ni kipingamizi kikubwa ambacho wamarekani hawakukikubali kitiwe saini kwanza

.
.
4- SOFA ina nini hasa ambacho wamarekani walikiogopa..means ingetiwa saini mapema ingewalimit kufanya mambo mengi yasiyokubalika kwa kigezo cha ACOTA...hatuwezi kupata popote pale documents za SOFA...naamini tutaona wamerikani waliogopa nini alichowashika pabaya mzee waitara.

"UNITED STATES OF AFRICA..IN DOGS WE TRUST"



SUBJECT: TANZANIA SOFA: LIMITS OF TPDF AUTHORITY

1. (SBU) SUMMARY: Visiting Africa Command Legal Counsel Colonel Jon
Lightner discussed Tanzanian concerns about a proposed Status of
Forces Agreement (SOFA) with senior GOT military attorney Brig. Gen.
Rwegasira on October 21. The meeting clarified that the Tanzanian
People's Defense Forces (TPDF) lacks authority to negotiate a SOFA
on the government's behalf. Neither is TPDF authorized to address
key differences over reciprocity for Tanzanian military personnel,
criminal jurisdiction issues, or the binding nature of a SOFA.
Having exhausted the military track for the moment, we will raise
the issue with MFA, which has yet to reply to the 2006 and 2008
diplomatic notes, to gauge the possibility of real progress. END
SUMMARY.

2. (SBU) Background: In November 2006 and July 2008, Mission
passed "global SOFA template" language via diplomatic note for GOT
consideration. On August 13, 2008, DATT received a "note verbale"
from TPDF proposing a Memorandum of Understanding (MOU) on Defence
Cooperation and, as an appendix to the MOU, a draft SOFA. In
December 2008, Brig. Gen. Rwegasira participated in an inconclusive
initial discussion via conference call with State/PM and DOD
officers. DATT arranged the October 21 meeting to review U.S. and
Tanzanian concerns in greater detail.

3. (SBU) Colonel Lightner and Embassy Office of Security Cooperation
(OSC) Chief met with Rwegasira in his office Oct. 21. Lightner gave
a detailed presentation on the importance of status protections to
the USG and outlined the benefits of such an agreement to the GOT.
He emphasized that a SOFA is not a presence agreement, but a set of
the ground rules for any activity with specific GOT approval.
Lightner noted that the language in the USG-proposed SOFA is
employed with USG partners worldwide, including those in Africa. In
addition, Lightner explained the administrative and technical (A&T)
status, as well as the operation of USG claims procedures. He
described the operation of the U.S. military justice system and
emphasized its applicability worldwide, noting that it has
jurisdiction over all crimes committed by our active duty service
members. In addition, Lightner highlighted some of the provisions
in the TPDF draft SOFA that the USG could potentially work with,
such as Article 1 (Entry, Residence and Departure), Article 2
(Military Discipline), Article 6 (Security), and Article 11
(Drivers' Licenses).

4. (SBU) Lightner and OSC Chief noted several aspects of the TPDF
draft SOFA that would pose problems for the USG. In particular, the
TPDF draft proposes full reciprocity for TPDF personnel, meaning
that the SOFA would apply fully to Tanzanian military personnel in
the U.S. Lightner explained that insistence on reciprocity would
significantly reduce the likelihood of achieving a SOFA, since it
would require elevating the SOFA to treaty status, requiring
Congressional approval. Further, Lightner pointed out that given
the nature and number of TPDF activities in the U.S., reciprocity
was not necessary.

5. (SBU) The TPDF draft SOFA also suggests that U.S. personnel be
subject to the criminal and civil jurisdiction of Tanzania.
Lightner pointed out that this provision (Article 5 of the TPDF
draft SOFA) runs contrary to USG policy of exercising jurisdiction
over its own personnel and seeking A&T status wherever possible.
Rwegasira indicated that immunity from prosecution under Tanzanian
law would be a significant "sovereignty" issue for the GOT.
Regarding A&T status, Rwegasira suggested the GOT would consider
granting status to a limited set of "senior leaders," but not all
personnel.

6. (SBU) Lightner highlighted several other key provisions that the
USG typically seeks in its SOFAs that were missing from the TPDF
draft SOFA, such as duty free importation/exportation, tax
exemptions, and exemptions from landing and other similar fees.
(Note: While not specifically mentioned at the meeting, there are
other problems with the draft TPDF SOFA, such as exclusion of DoD
contractors, processing of third party claims, and failure to
acknowledge professional licenses. End Note.)

7. (SBU) Rwegasira said the GOT preferred to separate the specific
defense related activities outlined in the MOU from the SOFA.
Rwegasira suggested it would be better to address cooperation and
status protection individually, with the SOFA in place before any
specific joint activities were proposed or approved.

8. (SBU) Rwegasira noted that several issues discussed, such as
professional licenses and tax exemptions, were outside TPDF
authority, and that a "broad agreement" as contemplated in the U.S.
global SOFA template was more appropriate for the Ministry of

DAR ES SAL 00000750 002 OF 002


Foreign Affairs to discuss. In addition, Rwegasira's assistant
commented that the GOT Attorney General did not consider the TPDF's
proposed MOU and SOFA to be a "binding international agreement."
Lightner responded that the U.S. sees SOFAs as binding international
obligations. (Note: A related U.S. concern, not addressed during the
meeting, is that the MOU - and thus the SOFA - would only be valid
for three years under the TPDF proposal.)

9. (SBU) COMMENT: Rwegasira's comments and questions during the
meeting made apparent that he now recognizes there are matters in
the proposed SOFA that are beyond the competency and authority of
the TPDF. Having exhausted the military track for the moment, we
will raise the issue with MFA, which has yet to reply to the 2006
and 2008 diplomatic notes, to gauge the possibility of real
progress. END COMMENT.

ANDRE
 
Nimecheka sana na sana maana hata ukikasirika haina msaada wowote.

Wakuu wana-JF Waitara alikuwa sahihi kuliko kawaida na alikuwa anajuwa anachokifanya na alikuwa anasimama anachokijuwa na ipo siku historia ita mkumbuka kwa hili, kwa wale wanajuwa njama za US mara zote wanajeshi wanaokwenda kupewa mafunzo huko bila mipango maalum ndio hao hao utumika katika kuunda vikosi kama vya NTC nk vurugu nyingi zinazo chezwa west africa sababu yake ni huo upuuzi ambao Waitara alikuwa anaupinga mpaka ikabidi atafutwe mrembo wa macho kuchukuwa nafasi yake ili awe anarembua mbele ya matakwa ya USA.

Kwa kifupi Kikwete atuombe radhi na atubu kwa Mungu wake maana ameonekana kuwa mtumwa hadi wa akili.
 
Democracy at its best. Mlitaka wakae kama ma zezeta? Kwani ni kampuni binafsi hiyo? Mnanchekesha, hata kampuni zina kuto-kukubaliana.

Halafu hiyo habari ni ya lini? history.
 
Akili yangu imefika mwisho wa kufikiri kuhusu haya mambo! Kustaafu kwa waitara akiwa very active(sijui kuhusu umri) kulinishangaza sana.hizi habari zitatupa ugonjwa wa moyo waungwana.
 
MIMI NIMEPATA KIGUGUMIZI JUU YA KUCHANGIA HAPA NASUBIRI SALVA AJE NA PRESS RELEASE (kama atatokanayo) NDIYO NITASEMA!
 
Siku zote mimi mjinga tu. Najifunza kila uchao. Mengine nayaelewa, mengine yanapita tu. Nijibiwe tu kwa hoja bila matusi wala kejeli. Assange mbakaji anaweza akageuzwa na akatumika vyovyote vile.
Alikutwa na hatia za ubakaji Mahakamani? Au alituhumiwa/alibambikwa ubakaji? Halafu ukisemewa mbovu unalalamika!
 
Kurugenzi ya Ikulu imefanya bonge ya miscalculations, wikileaks documents mpaka zitakapokuwa released zote sijui watatoa press release ngapi?
 
natamani jeshi liasi hivi halafu tuone mwelekeo!
<br />
<br />
Sidhani kama hicho ni kitu rahisi maana Ni kwamba moja ya sifa kuu za Jeshi kuwa lazima liwe na nidhamu kutoka ngazi za juu na la kwetu lina zaidi ya hapo maana lina nidhamu na woga pia kwa hiyo siyo kitu rahisi kama unavyodhani na wale ambao wanategemewa kuanzisha ndiyo watoa amri na wana trillion tatu wewe unataka kusema nini hii ni wananchi wenyewe waanze halafu na wao wanaweza kuibukia hapo lakini kuanza kama wao siyo rahisi kiwango hicho.
 
9-7-2011 12-03-53 PM.jpg

Historical Note: This photograph was presented to President John F. Kennedy by Julius K. Nyerere, Prime Minister of Tanganyika (1961), President of Tanzania (1964-1985), during his state visit to the White House July 15, 1963.

Kazi ipo. Sasa mnaosema Mmarekani hapingwi na sijuhi Nyerere alichemka kwa msimamo wake; je kwa nchi yetu sasa kuwa 'Darling' wa Marekani imetusaidia nini; mbona tunazidi kuwa masikini?

Mdau unaweza kuona Baba wa Taifa alikuwa na uhusiano mkubwa sana na Wamareakani lakini katika misingi ya kuheshimiana.Wamarekani kupitia Marais wao John Kennedy na Jimmy Carter walimuheshimu Mwalimu kwa misimamo yake na walimwelewa kama mtu huru na si mtu wa kufuata upepo.[A free Mind Man].

Walitegemea busara zake nae akatumia maarifa yake ikiwamo kumjengea vyuo na baadhi ya mahospitali na kumsomeshea baadhi ya wataalamu, katika sekta ya Fedha na Uchumi.

Some taarifa hii ya Jimmy Carter Rais 39 USA mwaka 1977-1981
President Julius K. Nyerere of the United Republic of Tanzania met yesterday and today with the President. They reviewed political and economic development in Africa and their relationship to global issues, as well as to subjects directly bearing on United States and Tanzanian relations.
President Nyerere outlined current political and development trends in Africa for the President, focusing in some detail on the problems of southern Africa. They discussed the prospects for negotiated settlements in southern Africa.

The President expressed his great pleasure at welcoming President Nyerere as not only the first African leader to pay a state visit to his administration, but equally as an African statesman. The President reaffirmed our deep and continuing interest in obtaining a peaceful solution to the problems of southern Africa, our interest in cooperating with Tanzania in solving its development problems, and discussed United States positions on matters of global interest to Tanzania. The President also declared his firm desire to make more intimate the warm and cooperative relations which exist between our two countries.


President Nyerere thanked the President for his cordial welcome to the United States. He reaffirmed Tanzania's commitment to just and, hopefully, peaceful, negotiated settlements in southern Africa. Further, President Nyerere expressed his pleasure at meeting President Carter and his keen desire to continue the close, personal relationship the two men achieved.
Bofya Hapa kupata speech ya Jimmy Carter.

488px-JimmyCarterPortrait2.jpg
Jimmy Carter
 
Kwa nini haya yanaibuliwa sasa? Hayana uhusiano na magamba yanayovuliwa huko CCM?
Nimagamba gani yanayovuliwa CCM gamba namabali moja ni Rais Mwenyewe JK CCM hakuna kuvuana magamba Kwani wote ni magamba CCM ya sasa sio jukwaa la kuwatetea wanyonge wakulima na wafanyakazi ni kitengo au jukwaa la kujificha kutenda ufisadi.UKITAKA MAMBO YAKO YAKIFISADI YAFANIKIWE JIUNGE NA CCM Ni mwamvuli tosha hakuna atakaekugusa kuanzia polisi,vyombo vya dola,mahakama n.k CCM usanii mtupu.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Nimeisoma hii topic vizuri sana, mi nipo tofauti kidogo na wachangiaji wengine. Ningependa kujua kwanini Waitara aligoma, na serikali ikaheshimu na kusema inasubiri kwanza astaafu then ndo program ianze. Kama mkuu wa majeshi amegoma, maana yake kuna sababu za msingi na bila shaka alizitoa na serikali ilimuelewa. Kinachonishangaza kama mtu ana sababu za msingi na amezitoa (Kama alifanya hivyo) na serikali kama serilkali akazielewa, kweli dawa yake ni kumsubiri huyo mkuu wa majeshi astaafu????

1. Kushirikiana na Marekani katika maswala ya ulinzi si dhambi.

2. Kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu, shaka yangu ni jinsi tunavyoshirikiana nao, je tunatetea strategic interests zetu na ku negotiate nao? Au tunakubali kila kitu tunachopewa?

3. Inawezekana CDF Waitara alikuwa anasimamia strategic interests hizi. Akaona kina Kikwete wanajiingiza kichwa kichwa na wanatoa siri za uwezo wa jeshi letu pamoja na kusaini mikataba inayotufunga zaidi ya kutusaidia.

4. Inawezekana pia Waitara alikuwa mbishi tu na mtu aliye close minded/ anayeendekeza personalbeef na Kikwete aliye overly and unnecessary suspicious kuhusu Wamarekani.

5. Rais kufanya a tactical calculation si dhambi. Lakini je, ilikuwa lazima kuwaambia Wamarekani kwamba kuna mgongano kati ya Rais na CDF? Huyu rais ana akili kweli? Kesho akitaka kuwakatalia Wamarekani matakwa yao, na wao washajua kuna wanajeshi fulani hawamuheshimu, watashindwa kuwashawishi wanajeshi hao kuchukua nchi kwa mapinduzi? CIA wamechochea mapinduzi mangapi ya kijeshi Africa? Hivi Kikwete na Kapuya wake walishindwa kabisa kuwayayusha Wamarekani kwa 12 weeks? Au hata kuwaambia tu "we have a strategic national security classified issue that will be over in a certain timeframe"? Yaani nikisoma hizi cables naona Watanzaniahatujui the art of diplomacy, hata Kikwete aliyekaa Foreign Affairs miaka kumi.Mshukuruni Mkapa kwa kumpa exposure pale, maana asingepata hata hiyo exposure ya MOFA sijui angekutupeleka wapi sasa hivi.
 
Jamani kweli kikwete anaendelea kutuuza kila siku, general waitara alikuwa anatetea maslahi ya inchi yetu kama alivyo apa kuilinda katiba ya inchi yetu. Americans wameshamdump rais zamani na sasa lazma atakuwa anaelewa waitara alikuwa ana manisha nini, general waitara we support you
 
Back
Top Bottom