1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza.
2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya kipolisi tu ambapo kamanda Muliro mguu wake mmoja hauenei.
3. Israel leo mwezi wa 6+ anapigana kwa makombora na mabomu mazito mazito; akitumia drones, ndege, manowari, makomando, brigades, special force, Shin Bet, Mossad, nk; hivi huyu ndugu kufikia hapa anapigana na nani bado huko?
4. Wenye akili zao wamesha stuka:
5. Huyu si ashauriwe japo kupata ushauri kutokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vya kwetu huku ambavyo kumbe vina weledi mkubwa mno kulinganisha naye?
6. Anachokifanya huyu ndugu Bibi mbona kinatia kinyaa zaidi?
7. Kwa hakika inahitaji u wenda wazimu uliotukuka kumwelewa ndugu mwisraeli kwenye vita vyake hivi!
2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya kipolisi tu ambapo kamanda Muliro mguu wake mmoja hauenei.
3. Israel leo mwezi wa 6+ anapigana kwa makombora na mabomu mazito mazito; akitumia drones, ndege, manowari, makomando, brigades, special force, Shin Bet, Mossad, nk; hivi huyu ndugu kufikia hapa anapigana na nani bado huko?
4. Wenye akili zao wamesha stuka:
5. Huyu si ashauriwe japo kupata ushauri kutokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vya kwetu huku ambavyo kumbe vina weledi mkubwa mno kulinganisha naye?
6. Anachokifanya huyu ndugu Bibi mbona kinatia kinyaa zaidi?
7. Kwa hakika inahitaji u wenda wazimu uliotukuka kumwelewa ndugu mwisraeli kwenye vita vyake hivi!