Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,209
- 162,781
Hivi ununuzi wa ndege mbili aina ya Bombadier ulifanywa kwa kutumia utaratibu wa kutangaza tender?
Ununuzi wa ndege tatu/nne zilizobaki nao utafanywa bila tender kutangazwa?
Manunuzi ya umma yamewekewa utaratibu wa kutumia tender ambapo kampuni inayoshinda ndio inapewa kazi au jukumu la kufanya manunuzi kwa niaba ya serikali.
Sasa wadau kwenye ununuzi wa ndege hizi,utaratibu huu unafuatwa na kama haufatwi, inatosha tu sisi kuridhika na kuamimi kuwa kila kitu kiko sawa?
Kwanini makampuni ya utengenezaji wa ndege hizi yasishindanishwe kwa uwazi?
Yetu macho na masikio.
Pitieni na hii habari hapa:
MV Dar es Salaam kufa kabla ya kuanza kazi?
Ununuzi wa ndege tatu/nne zilizobaki nao utafanywa bila tender kutangazwa?
Manunuzi ya umma yamewekewa utaratibu wa kutumia tender ambapo kampuni inayoshinda ndio inapewa kazi au jukumu la kufanya manunuzi kwa niaba ya serikali.
Sasa wadau kwenye ununuzi wa ndege hizi,utaratibu huu unafuatwa na kama haufatwi, inatosha tu sisi kuridhika na kuamimi kuwa kila kitu kiko sawa?
Kwanini makampuni ya utengenezaji wa ndege hizi yasishindanishwe kwa uwazi?
Yetu macho na masikio.
Pitieni na hii habari hapa:
MV Dar es Salaam kufa kabla ya kuanza kazi?