Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,604
- Thread starter
- #41
Hahaha alifutiwa kesi zote, walimpima moyo walidhani ana moyo wa chadema, waligundua bado ni ccm wakamuachiaAnasikilizia bill za Yono
Hahaha alifutiwa kesi zote, walimpima moyo walidhani ana moyo wa chadema, waligundua bado ni ccm wakamuachiaAnasikilizia bill za Yono
kamdhofiisha? wewe humjui manji wewe. manji mali yake iliyopo tanzania ni 1% tu 99% ipo nje ya tanzania. manji anaishi tanzania for funny tu ni raia wa marekani yule siyo mwenzio hata mzazi wake amezikwa huko huko marekaniInaonekana kamuweza sasa maana kamdhoofisha kila kona kwa kesi fake, magufuli anapenda kushinda na ukimshinda kwa hoja hutafuta hata chochote kiwacho kukuadhibu mpaka umpishe, hajali ni haki au kavunja sheria, ilimradi aonekane kakushinda.
Hahaha umemfichulia siri watamfukuza soonkamdhofiisha? wewe humjui manji wewe. manji mali yake iliyopo tanzania ni 1% tu 99% ipo nje ya tanzania. manji anaishi tanzania for funny tu ni raia wa marekani yule siyo mwenzio hata mzazi wake amezikwa huko huko marekani
ingekuwa wanataka kumfukuza wangeshafanya hivyo siku nyingi sana. wewe huoni hata mashtaka yote waliyompa wamefuta? hujiulizi kwanini?Hahaha umemfichulia siri watamfukuza soon
Manji anaumwa,anatakiwa kuchomekwa msumari wa pili lkwenye moyoUdiwani, Uenyekiti klabu ya Yanga, Umiliki wa yale makampuni makubwa.
Siku hizi hata magazeti yame msusa.
Yusufu Manji naye kasusa kabisa?!
Sijui kwaniniingekuwa wanataka kumfukuza wangeshafanya hivyo siku nyingi sana. wewe huoni hata mashtaka yote waliyompa wamefuta? hujiulizi kwanini?
Msumari tena?! Au ndiyo matibabu yenyeweManji anaumwa,anatakiwa kuchomekwa msumari wa pili lkwenye moyo
Wanafanyiwa niniPengine wanayofanyiwa mateka wa siasa na yeye kafanyiwa. Akifungua tu mdomo wake picha zinamwagwa mitandaoni.
Kumbe yeye ndiye anapanga bei ya mbaazi india?! Hongera zakeYupo Canada by the way tusimdharau uliza mbaazi soko la India likoje ndio utajua manji nani
Hahaha hapo nimekuelewaDawa ya mnafiki nikukaa naye mbali tu na asijue nini unafanya maishani
Matibabu mkuuMsumari tena?! Au ndiyo matibabu yenyewe
Mkuu hii ni biashara Wateja wakubwa wa mbaazi ni India wauzaji wakubwa ni ni Tanzania na Msumbiji so India baada ya saga la Manji wachukua 100% mbaazi kutoka MsumbijiKumne yeye ndiye anapanga bei ya mbaazi india?! Hongera zake
Hapo nimeelewa sasa.Mkuu hii ni biashara Wateja wakubwa wa mbaazi ni India wauzaji wakubwa ni ni Tanzania na Msumbiji so India baada ya saga la Manji wachukua 100% mbaazi kutoka Msumbiji
Waliuchukua ccm, kwa madai alikua ahudhurii vikao, na hakutoa taarifa kwamba alikuwa jela kekoHata Udiwani wake pia hataki?