Yusufu Manji kasusa kabisa?!

Yusufu Manji kasusa kabisa?!

Inaonekana kamuweza sasa maana kamdhoofisha kila kona kwa kesi fake, magufuli anapenda kushinda na ukimshinda kwa hoja hutafuta hata chochote kiwacho kukuadhibu mpaka umpishe, hajali ni haki au kavunja sheria, ilimradi aonekane kakushinda.
kamdhofiisha? wewe humjui manji wewe. manji mali yake iliyopo tanzania ni 1% tu 99% ipo nje ya tanzania. manji anaishi tanzania for funny tu ni raia wa marekani yule siyo mwenzio hata mzazi wake amezikwa huko huko marekani
 
kamdhofiisha? wewe humjui manji wewe. manji mali yake iliyopo tanzania ni 1% tu 99% ipo nje ya tanzania. manji anaishi tanzania for funny tu ni raia wa marekani yule siyo mwenzio hata mzazi wake amezikwa huko huko marekani
Hahaha umemfichulia siri watamfukuza soon
 
Back
Top Bottom