Yusufu Manji kasusa kabisa?!

Yusufu Manji kasusa kabisa?!

Kasababisha kufa kwa uchumi wa wakulima wa mikoa minne iliyokuwa ikitegemea kilimo cha mbazi.
Serikali pamoja na kelele nyingi na kuonesha ina nguvu na uwezo, imeshindwa kuwatafutia soko la mbaazi wakulima wa mbaazi. Wenye akili watasema, naninameshindwa katika ile bita, katinya serikali na Manji.
 
Alijisahau saana huyu, akafikiri hapa India kumbe wenye nchi Yao wapo wanamchora tuu.
hao waliomfanyia nao watafanyiwa, 2025 ni keshokutwa tu, kwanza tunaanza na huyo aliyeuza nyumba za serikali akiwa waziri, manake hapo hatakuwa na kinga,
 
Udiwani, Uenyekiti klabu ya Yanga, Umiliki wa yale makampuni makubwa.
Siku hizi hata magazeti yame msusa.
Yusufu Manji naye kasusa kabisa?!
Kila mtanzania sasa hivi anaomba dua kuomba matokeo yatokee yanayomfurahisha yeye na familia yake.
 
kwasababu was not found guilty, akili zetu zote sisi wa hali ya chini tunazipeleka kwenye kuikomoa Yanga. Chanzo cha kuyumba kwa club ya Yanga ni yaliyomtokea Manji. Biashara za Manji hazina tofauti kubwa kiundeshaji na zile za Mo na matajiri wengine nchini katika kipindi cha awamu ya nne, lakini Mo yuko salama usalimini na Simba yake. Sisi mambumbumbu mzungu wa reli tunaona factor ni Yanga na Simba.
 
JELA MCHEZO ?? MDOMO WOTE KWISHNEY, HAWEZI KUUCHONGA TENA KWENYE VYOMBO VYA HABARI !!!!!
Kilichokufurahisha nini? Hangaikeni na mambo yenu, mumuache atulie afanye yake. Si mnawatengeneza matajiri wengine, endeleeni ***** zenu.
 
hao waliomfanyia nao watafanyiwa, 2025 ni keshokutwa tu, kwanza tunaanza na huyo aliyeuza nyumba za serikali akiwa waziri, manake hapo hatakuwa na kinga,
hao waliomfanyia nao watafanyiwa, 2025 ni keshokutwa tu, kwanza tunaanza na huyo aliyeuza nyumba za serikali akiwa waziri, manake hapo hatakuwa na kinga,
HAJAWAHI KUUZA NYUMBA BALI ALIELEKEZWA NA SERIKALI AFANYE HIVO. yeye hakuwa serikali hata wewe ungeweza kuambiwa ufanye hivyo kama yeye alivyofanya. kabla ya kuuzia watumishi maskini wanaongojea pesa ya kuustafu ndio ajenge serikali iliuza nyumba zake za NHC je wale waioziuza hatua gani zichukuliwe, MBONA UPANDE HUU HUULIZWI AU SIO ZA SERIKALI AU KWA VILE NANYI MATAJIRI MLIUZIWA NDIO HAMUONI?
 
Back
Top Bottom