Yusuf Manji kuhamishia biashara zake zote nchini Zambia

Aondoke tu, in fact amechelewa ilimpasa aondke "JANA"! Hukoaendako ndiko wanataka "wafanya biashara wajanja wajanja"? Wenye kukwepa kulipa kodi? Wanao tumia mada............... na wakistukiwa wanasema wanahama!? WAHAME, kuipunguzia Serikali kero za kukimbizana na wakwepa kodi na mafisadi. Aondoke!
Nyie watu wa vijiweni mna matatizo sana huna mbele wala nyuma, mchumia tumbo, unashabikia muwekezaji, mlipa kodi na mwajiri kuhamisha biashara..!! Huduma alizokuwa anazitoa utaweza kuzitoa wewe?
 
Sio Manji pekee Wafanyabiashara wengi wamekimbilia Zambia,Uzuri wa Zambia ukiwalipa kodi hawakusumbui tena na hawana EFD wala ujinga wa risiti na ndio Nchi ambayo mizigo mingi inaingia kutoka SA na China kupitia Durban maana Tanzania walikimbia baada ya kuwekewa VAT kwenye transit goods sasa imefutwa wao washazoea tena SA...bandari zipo nyingi mnaleta usumbufu watu wanaangalia kwenye unafuu tu..
Mt Meru petrol station, Mt Meru Millers alishahamia siku nyingi sana kule ndiyo maana kuna kipindi alifunguka live kuwa Tz siyo nchi salama kwa wawekezaji, kodi zisizokuwa na maana+usumbufu, rushwa kila kitu kinawakimbiza wawekezaji.

Huku Tz kabaki kama kanyaboya tu
 
Mt Meru petrol station, Mt Meru Millers alishahamia siku nyingi sana kule ndiyo maana kuna kipindi alifunguka live kuwa Tz siyo nchi salama kwa wawekezaji, kodi zisizokuwa na maana+usumbufu, rushwa kila kitu kinawakimbiza wawekezaji.

Huku Tz kabaki kama kanyaboya tu

Hapo sawa. Usumbufu Na Kodi za kiboya ndo ujinga wetu kwa wawekezaji
 
Mt Meru petrol station, Mt Meru Millers alishahamia siku nyingi sana kule ndiyo maana kuna kipindi alifunguka live kuwa Tz siyo nchi salama kwa wawekezaji, kodi zisizokuwa na maana+usumbufu, rushwa kila kitu kinawakimbiza wawekezaji.

Huku Tz kabaki kama kanyaboya tu
Upo sahihi kabisa Mkuu
 
Makampuni mengi sana kati ya hayo hapo juu aidha HAYAPO AU YAMEKUFA AU HAYA FANYI KAZI TENA. Hii ni kutokana na ukweli kuwa mengi yalikuwa yakiaanzishwa kwa shughuli maalum na kwa malengo maalum! Kwa mfano hiyo Quality Extended Enterprises Limited iliundwa kwa ajili ya jengo la Quality Centre! Wote tunajua hiyo kampuni iko kwenye ufilisi baada ya hilo jengo kuwa na mgogoro. Kampuni nyingine hapo juu zilianzishwa kama kampuni za KIMKAKATI ili kufikia lengo husika. Kuna kampuni zilianzishwa kwa ajili ya kukusanya mikopo na madeni yanayotokana na pesa nyingi zilizopatikana kwa ujanja! Kama huamini hili cheki na BRELA na hapo ndio utajua ukweli.
TBY talks to Arif Iqbal Sheikh, Executive Director & Group CEO of Quality Group Limited, on the business environment under the new government, efforts to industrialize the country, and his assessment of the PPP landscape.
Arif Iqbal Sheikh

BIOGRAPHY
Arif Iqbal Sheikh is Executive Director & Group CEO of Quality Group Limited. He has over 30 years’ global exposure, including 17 years in diverse markets including the US, the UK, the UAE, India, and Africa. He is a recipient of numerous awards and recognitions and has authored two books that are on the curriculum of business schools. He is a visiting faculty to many international business schools across Asia, including the prestigious Indian Institute of Management (IIM). He is also a recognized motivational speaker and has delivered many lectures at international forums, conferences, and seminars.
How would you assess the new government and business environment since the election?
This is the first time one sees a statement by a president who walks the talk. He has already taken a stand against corruption and will continue with that. This drive to level the playing field will be a great boost. We have almost 100 companies in 28 countries and 30% of our revenue comes from Tanzania. As an overview, we have drones for border management and mining, and we have an e-health kiosk where patients can connect to doctors around the world. We have also purchased a newspaper and have e-education initiatives in place. In addition, we have a logistics company called Fasta-Fasta, an e-commerce company, ad agencies, social network apps, a supermarket, IT companies, and so on. We accomplished all this after President Magufuli came to power.
How do you assess the president's vision of industrializing the country and how does your business fit into this wider picture?
We see clearly that all the new policies are directed toward self-reliance, as opposed to being dependent on imports or at the mercy of foreign aid. We therefore view that as an opportunity to move into the import substitution sector and are analyzing the sectors that have great enough demand to determine if we can serve that market with the present tools at our disposal and if the segment is profitable. We currently import almost 70% of dairy products from Kenya; hence, in 2015 we decided to enter into the dairy sector. There was also a sugar crisis and the government is willing to provide incentives to promote sugar production. As the biggest landowner in the country, with 14,000 acres, we invested in the sugar industry after spending months surveying plants in Brazil, Europe, and Africa for the best technical expertise. We are setting up two different plants and the idea is to not only provide supply for domestic consumption but to export as well. One plant is in Morogoro while the second is in Pemba, which has a port.
How does the Stone Town Village project fit into the tourism strategy of the country?
Today, the entire tourism sector is focused on Zanzibar and Arusha, which sees luxury and nature tourists, with plenty of beaches but no more. There is little to do after 6pm in Zanzibar. There is a developing commercial side, with a growth of offices and commercial real estate, but it is not being coordinated. Our plan is to reclaim an island from the sea. If we receive approval from the government, we intend to develop a financial hub on that island. Our plans incorporate villas, apartments, shopping malls, and commercial buildings. It will cater to tourism in particular, with airlines, tourist offices, shops, cafes, and fine dining options.
How do you see the private-public partnerships landscape?
We are pleased with the current landscape. We recently applied for a new industrial PPP to manufacture transformers and power meters. We prefer PPPs because they represent an assurance from the government that the output will increase. As a multinational company we have to compare the potential PPPs available in each specific market. For example, taking the demographics into account, a 5% market share in Nigeria or Kenya gives us the same amount of output as a 50% market share here. We believe more in collaboration than competition. It is better for us, therefore, if the government is a partnered stakeholder, giving better results.
Do you have a specific goal or expectation for 2017?
We want to be the number-one IT company in Africa, offering a range of integrated ICT products. We are working on e-governance, ERPs, SME solutions, and smart city apps; we currently provide a variety of mobile apps to corporates and governments in Africa. That is our focus because looking at the demographics of the country this will be where the opportunities will lie in the future.
 
Mt Meru petrol station, Mt Meru Millers alishahamia siku nyingi sana kule ndiyo maana kuna kipindi alifunguka live kuwa Tz siyo nchi salama kwa wawekezaji, kodi zisizokuwa na maana+usumbufu, rushwa kila kitu kinawakimbiza wawekezaji.

Huku Tz kabaki kama kanyaboya tu

Africa kote si salama muhimu ni kuwekeza nchi tofauti tofauti ,sera za ujamaa baada ya uhuru ndizo zilizoharibu sera za kiungozi za kiafrika.Wamekimbia kuisoma no wamewaachia wanyonge kuisoma
 
http://asiaone.co.in/arif-iqbal-sheikh/ Yusuph alihamishia kampuni zake austaria baada tu ya kumpata huyu CEO ARIR IQBAL SHEIKH.kumbuka aliinunua tigo kupitia kampani yake ya nje.siku nyingi sana aliona upepo unakolekea.lakini kuondoka tanzania kuhamia zambia nadhani ameamua kutanua tu biashara zake kwa afrika.QGL wako nchi 28 duniani

Ngoja upepo upite watarudi tu.Hata awamu ya kwanza wengi walihamishia nje biashara zao hata wachaga wengi wakahamia kenya kukwepa sera za kishamba za kuisoma namba.wakarudi enzi za Mzee ruksa wakakuta demand kubwa wakatajirika zaidi..Kanda ya ziwa haijawahi toa kiongozi mzuri kwenye uchumi.Narudia tena kanda ya ziwa ndio asili chanzo cha umasikini wetu awajui chochote kuhusu ujasusi Wa kiuchumi ni wazuri kwenye kukomoa na kuumiza watu.
 
Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Kama huko hawalipi kodi na aende tu
 
Africa kote si salama muhimu ni kuwekeza nchi tofauti tofauti ,sera za ujamaa baada ya uhuru ndizo zilizoharibu sera za kiungozi za kiafrika.Wamekimbia kuisoma no wamewaachia wanyonge kuisoma
Wachina vipi na UJAMAA WAO? Ujamaa wao haujawaathiri au kuna sababu nyingine ikiwa ni pamoja na neo colonialist and imperialistic policies imposed on African countries and kukumbatiwa by our many corrupt and selfish African leaders!
 
Nyie watu wa vijiweni mna matatizo sana huna mbele wala nyuma, mchumia tumbo, unashabikia muwekezaji, mlipa kodi na mwajiri kuhamisha biashara..!! Huduma alizokuwa anazitoa utaweza kuzitoa wewe?
Wacha kubwatuka. Toa hoja. Linganisha anachopata hapa nchini na nchi inachopata wewe! Wacha habari ya wawekezaji wabaka uchumi wa nchi yetu. How much has he amassed from this countries. What he is sending to other countries has been gained here au kapata India?We vipi, kama asingekuwa na ziada au cha kuhamisha asingaliondoka, kapata au "kaiba" hapa na sasa anapeleka huko. Be analytical mwana JF usiendekeze ushabiki.
 
Wachina vipi na UJAMAA WAO? Ujamaa wao haujawaathiri au kuna sababu nyingine ikiwa ni pamoja na neo colonialist and imperialistic policies imposed on African countries and kukumbatiwa by our many corrupt and selfish African leaders!

Bila kuutupa wangekuwa fukara kama sie,waliufanyia mageuzi kwa kumix na ubepari.Hakuna nchi yeyeto dunia iliyoendelea bila watu Wa magharibu kuwekeza kule si Korea kusini,India,tiger countries,China,hongkong,nk.Hakuna sehemu yeyeto duniani ujamaa umewahi fanikiwa.Lengo kuu la ujamaa ni kutawala watu na si kuongoza watu.ujamaa uko kinadharia zaidi kuliko hali halisi
 
Lake Oil nao naona gari zao nyingi sasa zimesajiliwa Lusaka! Je wanajitanua na Zambia au wanahamia huko taratibu!
Waondoke tu, kama walikuwa wapigaji na njia za halali zimekuwa kero waende mbona wakoloni waliondoka?
 
Wacha kubwatuka. Toa hoja. Linganisha anachopata hapa nchini na nchi inachopata wewe! Wacha habari ya wawekezaji wabaka uchumi wa nchi yetu. How much has he amassed from this countries. What he is sending to other countries has been gained here au kapata India?We vipi, kama asingekuwa na ziada au cha kuhamisha asingaliondoka, kapata au "kaiba" hapa na sasa anapeleka huko. Be analytical mwana JF usiendekeze ushabiki.
Kama kuiba ni rahisi umeshindwa vipi wwe
 
Back
Top Bottom