Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 874
- 637
Atajijutia. Na hatuta niruhusu tena kufanya biashara kwetu. Wasaliti hao.
Sio kweli amekimbia kwasababu bwana mkubwa alianza kulipiza kisasi kwa maneno aliyomuambia zamaani kuwa siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa kwenye issue ya coco beach sasa mzee baba baada ya kuukwaa ukulu kimiujiza akaanza kumlipizia taratibu
ahahahhaa mnawaza made*u tuHata mimi last week nilikuwa Lusaka baada ya kupata ka mtaji ka biashara Australia, jamaa wako poa sana,tatizo hakuna warembo wengi kama bongo
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Kumbe. Duuh! Alitaka nini? Kuchukua COCO BEACH? Jamaa NOMA sana! Hajui kuwa sisi tuna mizimwi yetu pale?Aondoke tu si ndionyule aliyetaka kuichukua coco beach iwe mali yake?
Muhujumu uvhumi mkubwa huyu akwende......
Yanga oyeeee!!
Pia haiwezekani mwendawazimu kama wewe tukuonee aibu kwa kutetea wapiga dealNi sawa kabisa maana haiwezekani mwehu mmoja atake tuishi kama mashetani wakati pesa tumetafuta wenyewe
Nambariki kabisa akafanikiwe
Mwambieni yanga imetangulia.Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Kulikuwa na mgogoro mkubwa wa coco beach wafanyabiashara wawili wanagombea kufanya biashara hapo na Manji alikuwa na makubaliano na halmashauri na wakapelekana hadi mahakamani na Manji akashinda kesiManji alimwambia hivyo mzee baba lini na wakiwa wapi?
Hakutaka kuichukua coco mzee. Hizo ni propaganda tu za akina jiwe and company. Alikuwa anagombea fursa ya kufanya biashara na mfanya biashara mwingine ambae hakuwa na baraka za sirikali ya jiji. Ila Manji kwa kujua ana haki alianza kuwa jeuri na dharau na maneno mengi ya kuchefua rohoAondoke tu si ndionyule aliyetaka kuichukua coco beach iwe mali yake?
Muhujumu uvhumi mkubwa huyu akwende......
Yanga oyeeee!!
Alikuibia nini na wapi na kwa sababu ganiMwi
Mwizi aliyetuibia tunamfilisi