Yusuf Manji kuhamishia biashara zake zote nchini Zambia

Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Aondoke tu, in fact amechelewa ilimpasa aondke "JANA"! Hukoaendako ndiko wanataka "wafanya biashara wajanja wajanja"? Wenye kukwepa kulipa kodi? Wanao tumia mada............... na wakistukiwa wanasema wanahama!? WAHAME, kuipunguzia Serikali kero za kukimbizana na wakwepa kodi na mafisadi. Aondoke!
 
MWEMBESI
Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Halafu hii notisi ya hawa Mawakili ni ya kusimamia Benki iitwayo Eastern and Southern Africa Development Bank kupata fedha wanazoidai Kampuni iitwayo Quality Extended Enterprises Limited wamiliki na wasimamizi wa Quality Centre inayo milikiwa na Quality Group Limited walio tumia hiyo Centre kukopa Benki. Notisi hii haina uhusiano na UZUSHI huu wa Manji kuhamia na kuhamishia biashara zake nje ya nchi kama MWEMBESI anavyotaka kutuaminisha unless ana taarifa nyingine zaidi ya hii notisi. Hata hivyo kama nilivyo kwisha sema, kama anataka kuhama ahame, in fact kachelewa angehama JUZI!
 
Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Business portifolio ya Quality Group Tanzania




Our Corporate Anthem
Contact us: +255 (22) 286-1060



 
Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Kwa ufupi 2
Kafanyiwa unyambilisi.
Mwisho.
 
Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
View attachment 957252
Sasa vyuma vimebana sana JPM ndio anaitwa mtetezi wa wanyonge kwa hii ni kweli??
 
Namuunga mkono 100%....madaktari wote wanakimbia nchi sembuse wafanyabiashara ...hata wewe kama una visenti kidogo hama nchi maana sasa hivi hakuna la maana... wamekalia mahindi mpaka wanakuja kuruhusu uuzwaji nje na hao wa nje hawayataki sasa unategemea mwananchi wa hali ya chini afanyeje
 
Makampuni mengi sana kati ya hayo hapo juu aidha HAYAPO AU YAMEKUFA AU HAYA FANYI KAZI TENA. Hii ni kutokana na ukweli kuwa mengi yalikuwa yakiaanzishwa kwa shughuli maalum na kwa malengo maalum! Kwa mfano hiyo Quality Extended Enterprises Limited iliundwa kwa ajili ya jengo la Quality Centre! Wote tunajua hiyo kampuni iko kwenye ufilisi baada ya hilo jengo kuwa na mgogoro. Kampuni nyingine hapo juu zilianzishwa kama kampuni za KIMKAKATI ili kufikia lengo husika. Kuna kampuni zilianzishwa kwa ajili ya kukusanya mikopo na madeni yanayotokana na pesa nyingi zilizopatikana kwa ujanja! Kama huamini hili cheki na BRELA na hapo ndio utajua ukweli.
 
Nimejaribu kufuatilia hizo companies zote ni companies zisozidi 3 ambazo ndio angalau unaweza kusema ni tangible companies zinazoeleweka zaidi ya 95% ni briefcase companies zile za mfukoni.
 
Wahindi ni watu gani, ni bonge la wanyonyaji tu ungejua wanavyodhulumu wafanya kazi wao akiwemo MO wenu huyo basi ungeshukuru tu aondoke mapema .
 
Back
Top Bottom