OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,235
- 103,881
Wakuu,
Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM na akashindwa, amekuja na kiroja na kituko.
Eti amemtaka askofu Mokiwa amuombee mwanae January aote nywele kwa maana Mokiwa alitoa tamko kuwa hawatakuwa tayari kuongozwa na wanyoa unga.
Hii kauli inadhihirisha uelewa mdogo wa wanaCCM
Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM na akashindwa, amekuja na kiroja na kituko.
Eti amemtaka askofu Mokiwa amuombee mwanae January aote nywele kwa maana Mokiwa alitoa tamko kuwa hawatakuwa tayari kuongozwa na wanyoa unga.
Hii kauli inadhihirisha uelewa mdogo wa wanaCCM