Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Mkuu hata mimi naona umri umeenda 2011 vijana wanaona ni zamani sana.Dah hili jukwaa lina kila rika, yaani 2011 watu wanapazungumza kama zamaani!
Nimezeeka aisee.
Mkuu hata mimi naona umri umeenda 2011 vijana wanaona ni zamani sana.Dah hili jukwaa lina kila rika, yaani 2011 watu wanapazungumza kama zamaani!
Nimezeeka aisee.
Dah hili jukwaa lina kila rika, yaani 2011 watu wanapazungumza kama zamaani!
Nimezeeka aisee.
Dah hili jukwaa lina kila rika, yaani 2011 watu wanapazungumza kama zamaani!
Nimezeeka aisee.
Ulikuwepo kwenye ule mgomo wa kudai 10,000 tukapewa 7500? hadi kawambwa akaja pale swimming pool? Ulikuwa mwaka wa ngapi?
Huu mgomo nilikuwepo. Nilikoswa kwenda sello.
Jamani mtatiro c ni Mwenyekiti wa chama flani hapa tz...nadhani bado amekomaa na siasa
mbona nyinyi wasom mnatutenga wenye diploma uchwara wa vyuo vya kishkaj vilivyosajiliwa na veta
Hako Ka-bush kameajiriwa utawala udsm.
Kawambwa aliungua na jua wanafunzi walishusha kivuli alichokuwa ameandaliwa, Tuliwarushia FFU/Police chupa za maji wakati wanamrunda Kawamba aondoke eneo la tukio. Walirusha mabomu ya machozi balaa... Siku ile nilikoswa koswa na bomu la machozi likaanguka pembeni yangu (Sita sahau aisee).
2009 eti enzi hzo,uzee huu!
kila mtu ana zamani yake waache vijana wajimwage,nani alikuambia uzalie enzi za ukoloni?
Alie mchallenge kipala ni Rich..kaemba kagraduate 2009 wakati huo kipala alikuwa underground tu kama sikosei alikuwa first yearhuyo odwang alikuwaga mtoto wa joseph koni wa lord resistance army??maana nilikuwaga bado sijajiunga hapo ila story zake nilipata juu juu
Japo simkumbuki Kaemba lakini Udsm ya 2006-2010 ilikuwa balaa tupu kila semista lazima mgomo na maandamano na kila mwaka chuo kufungwa... peoplez kama Mtatiro(PM), Deo Daud (rais), Odong, Bush, Dady Igogo, Owawa, Silinde, Aristotle, n.k ziliyumbisha utawala wa chuo na serikali. karibu kila mwanachuo alikuwa mwanaharakati naikumbuka Red guard ya Mtatiro nikiwa first year tulifanya makubwa ya kuwatia mboko students na malekchara wapinga migomo. katika uwepo wangu udsm chuo kilifungwa mara 2 sababu ya migomo tukarudishwa nyumban 2007 na 2008. saa hizi sijui matatizo yameisha chuoni au wanafunzi radicals ndo wameisha??
Hako Ka-bush kameajiriwa utawala udsm.
Kuna watu uharakati wao ulihamasishwa na mob psychology ya UDSM, nje ya UD! they are nothing!. Wako wapi kina Sikitiko Kapile , Emile Kivugo, kina Bazigiza baada ya UDSM?!.
P.
Hahahha vijana kwa harakati mnajiweza lohh...tafrani hz tulikua tunajifungia room juu tunawachekiiUlikuwepo kwenye ule mgomo wa kudai 10,000 tukapewa 7500? hadi kawambwa akaja pale swimming pool? Ulikuwa mwaka wa ngapi?
Huu mgomo nilikuwepo. Nilikoswa kwenda sello.