Yupo wapi mwanaharakati huyu wa UDSM?

Yupo wapi mwanaharakati huyu wa UDSM?

Ulikuwepo kwenye ule mgomo wa kudai 10,000 tukapewa 7500? hadi kawambwa akaja pale swimming pool? Ulikuwa mwaka wa ngapi?

Huu mgomo nilikuwepo. Nilikoswa kwenda sello.

nilikuwepo mkuu kawambwa anaanza kwa kusema eti mimi nilikuwa nafundisha hapo injinia unakumbuka mkutano ulifanyika karibu na injinia na mabomu yaliyorushwa yaliunguza yale majani ya pale,watu wanamwambia ulikuwa mkufunzi na si mwanafunza kauli tunayoielewa ni elfu 10 tu

unakumbuka richi na bamgo lake mpaka bodi akidai elfu 10

unakumbuka gari la maji ya kuwasha lilieka kambi pale getini??geti maji

unakumbuka slogani ya KIBONDE AUWAWE tangu kipindi kile sijawahi sikiliza clouds
 
Kijicho nishawai kumuona pande fulani za Golani nyuma ya chuo huku karibu na msewe!!!!amechoka kinyama na hajarudishwa chuo mpk leo!!!!!!anakaa na mwanaharakati mwenzie anaitwa Bocassa!!maisha yao ni magumu sana!!Bocassa baada ya kufukuzwa chuo sasa ni dereva bodaboda!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

dah inasikitisha sana wanaharakati wengi wa udsm wanaishiaga pabaya sana,nakumbuka walishapitisha mchango pale yombo 4 na 5 watu wawachangie duuh
 
kiongozi alikuwaga mtatiro bana akisimama rev squre huku wapambe wake wakimzunguka kina owawa, silinde na dady hapo lazima kunji lieleweke tu, tuliokuwa tunapenda kula bata tunajisogeza mapema maeneo ya starehe,
 
nilikuwepo mkuu kawambwa anaanza kwa kusema eti mimi nilikuwa nafundisha hapo injinia unakumbuka mkutano ulifanyika karibu na injinia na mabomu yaliyorushwa yaliunguza yale majani ya pale,watu wanamwambia ulikuwa mkufunzi na si mwanafunza kauli tunayoielewa ni elfu 10 tu

unakumbuka richi na bamgo lake mpaka bodi akidai elfu 10

unakumbuka gari la maji ya kuwasha lilieka kambi pale getini??geti maji

unakumbuka slogani ya KIBONDE AUWAWE tangu kipindi kile sijawahi sikiliza clouds

Tulikuwa wote, kulikuwa na jamaa alikuwa amesimama kule juu kabisa alikuwa amevaa tshirt nyekundu?

Nahisi ule ndo mgomo pekee nilio participate efectively
 
Tulikuwa wote, kulikuwa na jamaa alikuwa amesimama kule juu kabisa alikuwa amevaa tshirt nyekundu?

Nahisi ule ndo mgomo pekee nilio participate efectively[/QUOT nilingooka kucha ya mguu maana nilikuwa nimevaa open shoes nilikuwa nawakimbia FFU mpaka leo siwasalimiagi mapolisi
 
tangu naingia 2010 migomo ilikuwa mingi kupindukia lakini hawakuwahi kufunga mpaka nilivyomaliza mwaka jana
kumbe walikuwa wanatafuta pamanenti solution weeeeee

tuligoma mgomo wa elfu 10 ikaongezwa elfu 2500 ikawa elfu 7 katika ile elfu 5

sasa kakaja kamgomo kadogo tu kakugomea watu ambao hawakuwekewa bumu kwa kuwa hawaku update na board sitasahau kwenye maisha yangu nilikimbia kilometa nyingi sana mpaka external kutoka chuo kwani bibo hakukalika wala chuo watu walisombwa segerea mpaka naandika reply hii watu walifukuzwa chuo na mpaka leo hawajarudishwa ikiwemo viongozi

na hadi sasa hawajaweza kujiunga kwani walinyimwa mikopo hata kama wamesamehewa na chuo

wengine ndo wako first year

mgomo uliongozwa na alishababu na kijicho

revo skwea ikapigwa marufuku yaani dah mwaka wa mwisho tuliishi kwa uoga wakaweka mashushu

yaani mpaka mgomo utokee pale sijui

walioko third sasa kipindi hicho walikuwa mwaka wa kwanza

Duh! hadi watu wanaanzia jkt saa hizi kweli wameua migomo udsm hiyo 7500 inaweza kudumu hadi 2020 na wanafunzi bado wakawa kimya
 
Tulikuwa wote, kulikuwa na jamaa alikuwa amesimama kule juu kabisa alikuwa amevaa tshirt nyekundu?

Nahisi ule ndo mgomo pekee nilio participate efectively[/QUOT nilingooka kucha ya mguu maana nilikuwa nimevaa open shoes nilikuwa nawakimbia FFU mpaka leo siwasalimiagi mapolisi

Pole, bomu la machozi lilipasukia mbele yangu, nilivimba macho balaa. Toka siku ile nilikuwa natamani sana migomo
 
Kiongozi alikuwaga Mtatiro bana akisimama Rev Squre huku wapambe wake wakimzunguka kina Owawa, Silinde na Dady hapo lazima kunji lieleweke tu. Tuliokuwa tunapenda kula bata tunajisogeza mapema maeneo ya starehe.

Umenikumbusha ile T-Shirt ya Arsenal ya Mtatiro alikuwa anaivaa kila siku kwenye Kunji!
 
Japo simkumbuki Kaemba lakini Udsm ya 2006-2010 ilikuwa balaa tupu kila semista lazima mgomo na maandamano na kila mwaka chuo kufungwa... peoplez kama Mtatiro(PM), Deo Daud (rais), Odong, Bush, Dady Igogo, Owawa, Silinde, Aristotle, n.k ziliyumbisha utawala wa chuo na serikali. karibu kila mwanachuo alikuwa mwanaharakati naikumbuka Red guard ya Mtatiro nikiwa first year tulifanya makubwa ya kuwatia mboko students na malekchara wapinga migomo. katika uwepo wangu udsm chuo kilifungwa mara 2 sababu ya migomo tukarudishwa nyumban 2007 na 2008. saa hizi sijui matatizo yameisha chuoni au wanafunzi radicals ndo wameisha??


Kaemba Kasinye alikuwa kiongozi wa Brigade ya kucharaza bakora wasaliti a harakati walio kuwa wanasalia mabwenini na kwenye lecture halls wakati wenzao tupo barabarani . @ Julius Mtatiro alikuwa anamkubali sana huyu jamaa. Kuna kipindi alikuwa anatoa mafunzo ya karate kwa wanachuo pande za Mabibo Hostel
 
Jamaa yupo Kibondo now alishahama Magu alikokuwa anafundisha shule ya sekondari Lugeye sekondari
Jamaa ni jamaa yangu wa karibu sana na bado anaendelea na harakati zake na juzi kaonekana Kahama akiwa kwenye mmaandamano ya Chadema
 
Richi nae yupo Bukoba ni Mwl.mgomo wa 2011 nilikuwepo mabomu kule survey tukapgqwa tukakimbilia makongo juu tukiwa katikati ya Kambi ya jeshi tukawekwa chini ya ulinzi na wajenda sitasahau ila mapambano yetu yakafanya watu wapate 7500
 
Mbona nyinyi wasom mnatutenga wenye diploma uchwara wa vyuo vya kishkaj vilivyosajiliwa na veta
 
Back
Top Bottom